Mama ajifungua watoto wa tano kwa mpigo
Mwanamke wa miaka 25 amejifungua watoto watano kwa mpigo katika hospitali ya rufaa ya nakuru. Margret Muthoni hakutarajia matokeo hayo kwani alikuwa ametarajia watoto watatu kama ilivyoonyesha kwenye picha alizopigwa. Mumewe Margret, Simon Kinyajui ambaye ni dereva wa magari ya 2NKsacco hata hivyo amewaomba wahisani wamsaidie kwa kazi ya ulezi aliyopata.

▶︎
Ndura Waruingi UNMASKS the truth why Expelling Sifuna is a DISASTER for ODM |Plug Tv Kenya

▶︎
USIPITE BILA KUANGALIA NINA UHAKIKA UTAGUSWA NA KISA HIKI CHA MAMA ALIEPATA MAPACHA WANNE KWA MPIGO

▶︎
UTASHANGAA: Ajifungua Mapacha 4 Kwa Mara Ya Pili Mfululizo!

▶︎
Gachagua FULL SPEECH today asking Gen Z to stay home on June 25 Anniversary GenZ Protests Maandamano

▶︎
MAMA WA MAPACHA 3 AFUNGUKA MAZITO, AENDA KLINIKI NA MIMBA YA MIEZI 8

▶︎
MAMA ALIYEJIFUNGUA MAPACHA 4 AONGEA - "MIMBA ILIKUWA NZITO MNO"

▶︎
TABASAMU, CHANGAMOTO YA MWANAMKE ALIYEPATA MAPACHA WANNE, AOMBA MSAADA

▶︎
MAMA AWASHANGAZA MADAKTARI, AJIFUNGUA MAPACHA WATATU "VIPIMO VILIONESHA WAWILI"

▶︎
MWANAMKE CHUNYA AJIFUNGUA MAPACHA WATATU, MUMEWE ALIMFUKUZA NYUMBANI

▶︎
Kutana na Mama Mariam Nabatanzi mwenye watoto 44

▶︎
MWANAMKE AJIFUNGUA WATOTO 10 AFRIKA KUSINI, AVUNJA REKODI YA DUNIA

▶︎
Child marriage in Nepal: From bride at 14 to young mother | Kids on the Silk Road (5/10)

▶︎
MAMA AJIFUNGUA PACHA WANNE kwa MPIGO KCMC - AOMBA MSAADA AKISEMA - "NINA WATOTO NANE wa KULEA"...

▶︎
MAMA MWENYE MIAKA 27 ARUSHA AJIFUNGUA MAPACHA WANNE WA KIUME, MADAKTARI WASHANGAA "NISAIDIENI"

▶︎
MAMA ALIYEJIFUNGUA MAPACHA WA NNE, AOMBA MSAADA.

▶︎
Meet The 'Twins' Born With Different Dads! | This Morning

▶︎
Mama ajifungua watoto wanne aowapa majina ya Raila na Ida Kisii

▶︎
Azam TV - Familia ya mapacha wanne yaomba msaada

▶︎
Kutana na MIUJIZA😳 ya Mapacha 9 (nonuplet)😳🙌 Wamevunja rekodi ya dunia🔥👏

▶︎
