USO KWA USO MAKONDA NA RC KENANI ARUSHA,AWASHA MOTO OFISINI NA KUKAA PAMOJA..

Aliye kuwa Mkuu Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda mapema leo 30 Juni, 2025 amekabidhi ofisi rasmi kwa Mkuu mpya wa Mkoa huo Mhe. Kenan Kihongosi ambapo ameahidi kuendelea kumpa ushirikiano katika kila jambo ambapo atalihitaji kutoka kwake bila kujali umri na kumtangulia kuingia katika uongozi Serikalini. Makonda ametoa ahadi hiyo wakati akitoa hotuba yake ya kuaga wananchi na Viongozi mbalimbali waliokusanyika katika viwanja vya ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo na kumkaribisha Mkuu mpya wa Mkoa katika ofisi yake mpya. Aidha amewataka wananchi kuendelea kumpa ushirikiano Mhe. Kihongosi ili kuendelea kutekeleza majukumu aliyopangiwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Kwa upande wake Mhe. Kenan Kihongosi amemshukuru mtangulizi wake Makonda kwa kazi alizozifanya katika Mkoa huo na kuahidi pia kuziendeleza.

MAKONDA AAMBIWA HANA AKILI, "NANI MJINGA?" ONA KILICHOMPATA HUYO JAMAA
▶︎

MAKONDA AAMBIWA HANA AKILI, "NANI MJINGA?" ONA KILICHOMPATA HUYO JAMAA

NILIMUOMBA KAKA ANILIPIE KODI YA MIEZI MITATU NIBAKI DAR | NIMETOKA KIJIJINI SANA | MAJID NSEKELA
▶︎

NILIMUOMBA KAKA ANILIPIE KODI YA MIEZI MITATU NIBAKI DAR | NIMETOKA KIJIJINI SANA | MAJID NSEKELA

RC ARUSHA KENANI KIHONGOSI ATEMA CHECHE KARATU - NAWAPA SIKU MOJA MZEE APATIWE HATI YAKE.
▶︎

RC ARUSHA KENANI KIHONGOSI ATEMA CHECHE KARATU - NAWAPA SIKU MOJA MZEE APATIWE HATI YAKE.

TAARIFA MPYA YA WACHOKONOZI ALIVYOFUNGWA PINGU NYUMBANI ARUSHA NA KUCHUKULIWA,SERIKALI YATOA TAARIFA
▶︎

TAARIFA MPYA YA WACHOKONOZI ALIVYOFUNGWA PINGU NYUMBANI ARUSHA NA KUCHUKULIWA,SERIKALI YATOA TAARIFA

U.S.  and Iran signal a peace deal is close
▶︎

U.S. and Iran signal a peace deal is close

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA ZA KUTOSHA BUNGENI BAADA YA KUPINGA VIKALI TABIA ZA KISHOGA
▶︎

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA ZA KUTOSHA BUNGENI BAADA YA KUPINGA VIKALI TABIA ZA KISHOGA

Michael Soro amchapa kwa TKO Hassan Mwakinyo. ...
▶︎

Michael Soro amchapa kwa TKO Hassan Mwakinyo. ...

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu
▶︎

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

FULL VIDEO KILICHOMPONZA MWENYEKITI WA MTAA HADI RC CHALAMILA KUAGIZA AKAMATWE | UTAPELI WA VIWANJA.
▶︎

FULL VIDEO KILICHOMPONZA MWENYEKITI WA MTAA HADI RC CHALAMILA KUAGIZA AKAMATWE | UTAPELI WA VIWANJA.

RC KENANI AAGIZA AFISA MTENDAJI AONDOLEWE
▶︎

RC KENANI AAGIZA AFISA MTENDAJI AONDOLEWE

ANITA AMONG ISI YAMWIKARAGIYEHO - KNC NA MUTABARUKA
▶︎

ANITA AMONG ISI YAMWIKARAGIYEHO - KNC NA MUTABARUKA

🔴#live; EXCLUSIVE INTERVIEW YA TUNDU LISSU USIKU HUU AKIWA NA ODEMBA AFUNGUKA KILA KITU
▶︎

🔴#live; EXCLUSIVE INTERVIEW YA TUNDU LISSU USIKU HUU AKIWA NA ODEMBA AFUNGUKA KILA KITU

Trump speaks from Oval Office
▶︎

Trump speaks from Oval Office

KWA MARA YA KWANZA KENANI KIHONGOSI ATOKWA MACHOZI MBELE YA RAIS SAMIA\TAZAMA MAGUMU ALIYOYAPITIA
▶︎

KWA MARA YA KWANZA KENANI KIHONGOSI ATOKWA MACHOZI MBELE YA RAIS SAMIA\TAZAMA MAGUMU ALIYOYAPITIA

Trump says Israel won't go back to war with Iran | The Wrap with Anna Botting
▶︎

Trump says Israel won't go back to war with Iran | The Wrap with Anna Botting

BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI
▶︎

BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI

How America Made The World Cup Unaffordable
▶︎

How America Made The World Cup Unaffordable

Trump speech LIVE: Trump Declares National Emergency, America Reacts | US NEWS LIVE | WORLD NEWS
▶︎

Trump speech LIVE: Trump Declares National Emergency, America Reacts | US NEWS LIVE | WORLD NEWS

ARUSHA WALIAMSHA! WAFUNGA BARABARA- HAWAMTAKI MGOMBEA WA CCM- WAMEAMBIWA AMESHAPITISHWA NA VIKAO...
▶︎

ARUSHA WALIAMSHA! WAFUNGA BARABARA- HAWAMTAKI MGOMBEA WA CCM- WAMEAMBIWA AMESHAPITISHWA NA VIKAO...