CHEKECHE: Ni ipi hatma ya mgogoro wa Niger baada ya ushiriki wa Ufaransa, Urusi, Marekani na ECOWAS?

Jumatatu ya Agosti 7 itakuwa ni juma moja limetimia la kutakiwa kuondoka madarakani kwa waliofanya mapinduzi nchini Niger. Ni sharti lililotolewa na wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Uchumi ya Afrika Magharibi ECOWAS, vinginevyo nguvu ya kijeshi itatumika dhidi ya waliompindua rais Mohamed Bazoum. Lakini pamoja na jumuiya ya kimataifa kutishia kuiwekea vikwazo Niger ili kushinikiza utawala wa kiraia kurejeshwa madarakani, msimamo wa rais wa sasa Jenerali Abdourahmane Tchiani aliyefanya mapinduzi ni kwamba mambo yao ya ndani yasiingiliwe. Ni hoja iliyoungwa mkono na majirani zake nchi za Burkina Faso na Mali waliosema wapo tayari kumuongezea mwezao nguvu kuwaadhibu watakaoivamia Niger. Karibu katika Chekeche

CHEKECHE:  Kukutana kwa Rais Kim Jong Un na  Putin ni tishio kwa mataifa ya Magharibi?
▶︎

CHEKECHE: Kukutana kwa Rais Kim Jong Un na Putin ni tishio kwa mataifa ya Magharibi?

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV
▶︎

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

Simba SC 2-0 Singida BS | Highlights | NBC Premier League 27/06/2026
▶︎

Simba SC 2-0 Singida BS | Highlights | NBC Premier League 27/06/2026

Nigeria: ‘Renewed Hope’ or ‘Hopelessness’? | Mehdi Hasan and Daniel Bwala | Head to Head
▶︎

Nigeria: ‘Renewed Hope’ or ‘Hopelessness’? | Mehdi Hasan and Daniel Bwala | Head to Head

فاهم 36 | سلسلة تذوق العبادات - (1) الصلاة | مع د. أحمد العربي
▶︎

فاهم 36 | سلسلة تذوق العبادات - (1) الصلاة | مع د. أحمد العربي

🔴 RTN - GRAND ENTRETIEN EXCLUSIF AVEC LE MINISTRE DE L'ECONOMIE ET DES FINANCES
▶︎

🔴 RTN - GRAND ENTRETIEN EXCLUSIF AVEC LE MINISTRE DE L'ECONOMIE ET DES FINANCES

CHEKECHE || Ukosefu wa Dolla na sababu za kuadimika kwake
▶︎

CHEKECHE || Ukosefu wa Dolla na sababu za kuadimika kwake

RTB - Major Questions of May 17, 2026, on the Africa Forward summit
▶︎

RTB - Major Questions of May 17, 2026, on the Africa Forward summit

CHEKECHE | China na Urusi wana ajenda gani kwa Dunia?
▶︎

CHEKECHE | China na Urusi wana ajenda gani kwa Dunia?

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA
▶︎

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

CHEKECHE : Je, mwelekeo wa BRICS una athari gani kwa nchi za Magharibi na Bara la Afrika?
▶︎

CHEKECHE : Je, mwelekeo wa BRICS una athari gani kwa nchi za Magharibi na Bara la Afrika?

🔴LIVE:SERIKALI KWENYE HOJA NZITO na CHADEMA KUHUSU KATIBA MPYA/TUME ya JAJI LILA YATAKIWA MAHAKAMANI
▶︎

🔴LIVE:SERIKALI KWENYE HOJA NZITO na CHADEMA KUHUSU KATIBA MPYA/TUME ya JAJI LILA YATAKIWA MAHAKAMANI

CHEKECHE | Mgogoro wa Iran na Israel utawaibua China na Urusi kukabiliana na Marerkani na Uingereza?
▶︎

CHEKECHE | Mgogoro wa Iran na Israel utawaibua China na Urusi kukabiliana na Marerkani na Uingereza?

Les ateliers MANSSAH - Edition Conakry : Quel modèle de gouvernance en Afrique ?
▶︎

Les ateliers MANSSAH - Edition Conakry : Quel modèle de gouvernance en Afrique ?

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI
▶︎

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

How Africa got a messed up education system - Prof Plo Lumumba explains
▶︎

How Africa got a messed up education system - Prof Plo Lumumba explains

CHEKECHE | Marekani katika lala salama ya uchaguzi mkuu
▶︎

CHEKECHE | Marekani katika lala salama ya uchaguzi mkuu

The Story Book : Kijana Mrithi wa Osma Bin Laden / Ibrahim Al Asiri
▶︎

The Story Book : Kijana Mrithi wa Osma Bin Laden / Ibrahim Al Asiri

PLO LUMUMBA Explode:  Macron and Ramaphosa in Panic
▶︎

PLO LUMUMBA Explode: Macron and Ramaphosa in Panic

Nach mir die Sintflut | Mobutu - Aufstieg und Fall eines Diktators (4/4) | ARTE
▶︎

Nach mir die Sintflut | Mobutu - Aufstieg und Fall eines Diktators (4/4) | ARTE