CHEKECHE: Ni ipi hatma ya mgogoro wa Niger baada ya ushiriki wa Ufaransa, Urusi, Marekani na ECOWAS?
Jumatatu ya Agosti 7 itakuwa ni juma moja limetimia la kutakiwa kuondoka madarakani kwa waliofanya mapinduzi nchini Niger. Ni sharti lililotolewa na wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Uchumi ya Afrika Magharibi ECOWAS, vinginevyo nguvu ya kijeshi itatumika dhidi ya waliompindua rais Mohamed Bazoum. Lakini pamoja na jumuiya ya kimataifa kutishia kuiwekea vikwazo Niger ili kushinikiza utawala wa kiraia kurejeshwa madarakani, msimamo wa rais wa sasa Jenerali Abdourahmane Tchiani aliyefanya mapinduzi ni kwamba mambo yao ya ndani yasiingiliwe. Ni hoja iliyoungwa mkono na majirani zake nchi za Burkina Faso na Mali waliosema wapo tayari kumuongezea mwezao nguvu kuwaadhibu watakaoivamia Niger. Karibu katika Chekeche

▶︎
CHEKECHE: Kukutana kwa Rais Kim Jong Un na Putin ni tishio kwa mataifa ya Magharibi?

▶︎
Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

▶︎
Simba SC 2-0 Singida BS | Highlights | NBC Premier League 27/06/2026

▶︎
Nigeria: ‘Renewed Hope’ or ‘Hopelessness’? | Mehdi Hasan and Daniel Bwala | Head to Head

▶︎
فاهم 36 | سلسلة تذوق العبادات - (1) الصلاة | مع د. أحمد العربي

▶︎
🔴 RTN - GRAND ENTRETIEN EXCLUSIF AVEC LE MINISTRE DE L'ECONOMIE ET DES FINANCES

▶︎
CHEKECHE || Ukosefu wa Dolla na sababu za kuadimika kwake

▶︎
RTB - Major Questions of May 17, 2026, on the Africa Forward summit

▶︎
CHEKECHE | China na Urusi wana ajenda gani kwa Dunia?

▶︎
WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

▶︎
CHEKECHE : Je, mwelekeo wa BRICS una athari gani kwa nchi za Magharibi na Bara la Afrika?

▶︎
🔴LIVE:SERIKALI KWENYE HOJA NZITO na CHADEMA KUHUSU KATIBA MPYA/TUME ya JAJI LILA YATAKIWA MAHAKAMANI

▶︎
CHEKECHE | Mgogoro wa Iran na Israel utawaibua China na Urusi kukabiliana na Marerkani na Uingereza?

▶︎
Les ateliers MANSSAH - Edition Conakry : Quel modèle de gouvernance en Afrique ?

▶︎
MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

▶︎
How Africa got a messed up education system - Prof Plo Lumumba explains

▶︎
CHEKECHE | Marekani katika lala salama ya uchaguzi mkuu

▶︎
The Story Book : Kijana Mrithi wa Osma Bin Laden / Ibrahim Al Asiri

▶︎
PLO LUMUMBA Explode: Macron and Ramaphosa in Panic

▶︎
