KONGAMANO LA VIJANA MBULU LAWAPA MAFUNZO YA URAIA, TEKNOLOJIA NA UZALENDO

Halmashauri ya Mji wa Mbulu imeandaa kongamano maalum la vijana lililofanyika Julai 13, 2026, likiwakutanisha mamia ya vijana kutoka maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo kwa lengo la kujadili masuala yanayowahusu na kuwajengea uwezo katika nyanja tofauti za maendeleo. Kongamano hilo lilishuhudia mwitikio mkubwa wa vijana waliojitokeza kwa wingi kushiriki mafunzo na mijadala mbalimbali inayolenga kuimarisha ushiriki wao katika maendeleo ya jamii na taifa. Akizungumza katika kongamano hilo, Mratibu wa Kongamano la Vijana wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu, Dkt. Tomic Simbeye, alisema jukwaa la Vijana Platform limeanzishwa ili kuwapa vijana nafasi ya kusikilizwa, kujadili changamoto zinazowakabili na kushiriki katika kutafuta suluhisho la matatizo yao. Alieleza kuwa jukwaa hilo tayari limezinduliwa kitaifa na kwamba Mbulu inaendeleza utekelezaji wake kabla ya uzinduzi rasmi utakaoongozwa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru. Dkt. Simbeye alisema katika kipindi cha kongamano hilo la siku mbili, vijana wanapatiwa elimu ya uraia, uzalendo, maadili mema, pamoja na elimu kuhusu ukatili wa kijinsia. Aidha, wanajifunza matumizi sahihi ya teknolojia za kisasa hususan Akili Mnemba (AI), pamoja na namna ya kuzitumia teknolojia hizo kujiongezea fursa za ajira na kujikwamua kiuchumi kupitia ubunifu na ujasiriamali. Aliongeza kuwa lengo kuu la kongamano hilo ni kuhamasisha amani, mshikamano na uwajibikaji miongoni mwa vijana huku akiwapongeza Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, Mhe. Mikeson Mdoe, na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu, Rehema Bwase, kwa mchango wao mkubwa katika kuwawezesha vijana. Pia aliipongeza Mbulu kwa kuendelea kufanya vizuri katika sekta ya elimu na maendeleo ya vijana, hali inayoiweka miongoni mwa maeneo yanayoongoza katika Mkoa wa Manyara.

Breaking News: Nuru Okanga Asema Anaunga Mkono Shirika la Utafiti la WANTAM Movement kwa Kauli Moja!
▶︎

Breaking News: Nuru Okanga Asema Anaunga Mkono Shirika la Utafiti la WANTAM Movement kwa Kauli Moja!

ALIKO DANGOTE ADDRESSES DAY TWO OF AFRICAN CAUCUS 2026 IN BANJUL 07.07.26
▶︎

ALIKO DANGOTE ADDRESSES DAY TWO OF AFRICAN CAUCUS 2026 IN BANJUL 07.07.26

I might not even be alive before the next election - Peter Obi
▶︎

I might not even be alive before the next election - Peter Obi

Balozi.Dr. Benson Bana- Atahadharisha Serikali Kesi ya Lissu, Nguvu ya CHADEMA-matamko dhidi ya EU.
▶︎

Balozi.Dr. Benson Bana- Atahadharisha Serikali Kesi ya Lissu, Nguvu ya CHADEMA-matamko dhidi ya EU.

Mid-Week Service: Spiritual Growth. Part 5
▶︎

Mid-Week Service: Spiritual Growth. Part 5

HATIMAE! RAIS SAMIA AKUBALI OMBI LA MWABUKUSI " MWABUKUSI NIMEMLEA ALIKUJA KUNIONA" AGUSIA KUNYONGA
▶︎

HATIMAE! RAIS SAMIA AKUBALI OMBI LA MWABUKUSI " MWABUKUSI NIMEMLEA ALIKUJA KUNIONA" AGUSIA KUNYONGA

MTANZANIA PEKEE KWENYE MAZISHI YA KHAMENEI  | AMEKUFA HANA HATA GARI AMEZIKWA NA WATU MILIONI 42
▶︎

MTANZANIA PEKEE KWENYE MAZISHI YA KHAMENEI | AMEKUFA HANA HATA GARI AMEZIKWA NA WATU MILIONI 42

England - Argentinien, Highlights mit Livekommentar | FIFA WM 2026 | MAGENTA TV
▶︎

England - Argentinien, Highlights mit Livekommentar | FIFA WM 2026 | MAGENTA TV

Africa: In the heart of the peanut EMPIRE | 750GTV
▶︎

Africa: In the heart of the peanut EMPIRE | 750GTV

65 Year Old Carpenter's Genius Pallet Idea: Smart And Practical Interior Design
▶︎

65 Year Old Carpenter's Genius Pallet Idea: Smart And Practical Interior Design

ጠ/ሚ ዐቢይ አሕመድ በታሪካዊው የሀገራዊ ምክክር መክፈቻ ላይ ያደረጉት ሙሉ ንግግር
▶︎

ጠ/ሚ ዐቢይ አሕመድ በታሪካዊው የሀገራዊ ምክክር መክፈቻ ላይ ያደረጉት ሙሉ ንግግር

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST
▶︎

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

What’s pushing young New Zealanders out? - World Questions, BBC World Service
▶︎

What’s pushing young New Zealanders out? - World Questions, BBC World Service

Natamani Nikuone, Ombi Langu, Ndiomana Unaitwa Jehovah DEEP SWAHILI WORSHIP  Nyimbo za Kuabudu
▶︎

Natamani Nikuone, Ombi Langu, Ndiomana Unaitwa Jehovah DEEP SWAHILI WORSHIP Nyimbo za Kuabudu

Nolosha Soomaalida Ee Togo 🇹🇬 : Marna Ma Aanan Dareemin Inaan Ajnabi Nahy – Abshir Aadan | Part 2
▶︎

Nolosha Soomaalida Ee Togo 🇹🇬 : Marna Ma Aanan Dareemin Inaan Ajnabi Nahy – Abshir Aadan | Part 2

Dee Mwango’s Village Life After Travelling to 80+ Countries | Love, Loss & Finding Happiness Again
▶︎

Dee Mwango’s Village Life After Travelling to 80+ Countries | Love, Loss & Finding Happiness Again

MAHINYILA ALIVYOPANGUA MASWALI BAADA YA KUBANWA KUHUSU CHADEMA NA UELEKEO WAKE KISIASA
▶︎

MAHINYILA ALIVYOPANGUA MASWALI BAADA YA KUBANWA KUHUSU CHADEMA NA UELEKEO WAKE KISIASA

DRC : Gouverneur wa Nord Kivu n’Uwa Sud Kivu bakirriwe n’Ibyishimo muri Centre i Nyabibwe
▶︎

DRC : Gouverneur wa Nord Kivu n’Uwa Sud Kivu bakirriwe n’Ibyishimo muri Centre i Nyabibwe

TWOLEKEDDE KARAMOJA BANGI GYEMUTYA OKUGENDA TAMBULA NANGE
▶︎

TWOLEKEDDE KARAMOJA BANGI GYEMUTYA OKUGENDA TAMBULA NANGE

Mouhamed Ayib Dafee est l’invité de Moustapha Diop dans Moment de Veritè Du Mercredi 15 Juillet 2026
▶︎

Mouhamed Ayib Dafee est l’invité de Moustapha Diop dans Moment de Veritè Du Mercredi 15 Juillet 2026