Likuyu Sekamaganga Namtumbo - Eneo lililohifadhi Wapigania uhuru wa Msumbiji
Kituo cha Ukombozi kimetembelea eneo la Likuyu Sekamaganga lililopo Wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma, eneo ambalo lililopokea na kuhifadhi wapigania uhuru zaidi ya 1000 kutoka Msumbiji kuanzia mwaka 1979 wakati wa Vita vya Renamo na Frelimo vilivyoanza mara baada ya nchi hiyo kupata uhuru mwaka 1975. Eneo hili liliwapokea wapigania uhuru wa Msumbiji na kuwapatia hifadhi katika vijiji 9 kikiwemo kijiji cha Mandela, Kambona, Kambarage, Kolimba, Sokoine, Samora na Mondlane vilivyopo katika Wilaya ya Namtumbo. Aidha, Urithi unaopatikana katika eneo hili ni pamoja na Shule ya msingi Mandela, zahanati, Chuo cha Mafunzo ya Uhifadhi wa Maliasili kwa jamii (CBCT) na mashine ya kusagia nafaka. Kituo kimetembelea eneo hili kwa lengo la kutambua urithi uliopo kwa ajili kuhifadhi, kutoa elimu kwa jamii na kutangaza utalii wa kiukombozi unaopatikana katika Wilaya ya Namtumbo. Urithi wa Ukombozi, Fahari ya Afrika

ASKARI WANYAMAPORI VIJIJINI WALIVYOFUZU MAFUNZO KWA VITENDO CHUO CHA CBCTC NAMTUMBO RUVUMA

TAZAMA HANDAKI LILILOKUWA LIKIMTOROSHA RAIS WA KWANZA WA MSUMBIJI SAMORA MACHEL.

Tracking The New Wave Of Abductions

RUTO IN PANIC: EX KDF officer SPEAKS DECLARES WAR On Ruto!! Tumechoka na Wewe 🚨‼️

CHUO CHA CBCTC NAMTUMBO RUVUMA KUANZA KUTOA KOZI YA WAONGOZA WATALII

"WAZIRI AMEONGEA KITU AMBACHO HAKIJUI" MADELEKA AMPASUA KATAMBI BILA UOGA

SEE HOW PITIFUL THESE NAMTUMBO FARMERS ARE

UKIKOSA ELIMU UNAPUNGUKIWA | ELIMU SIO UFAHARI MWENZIO AKIKOSA MSAIDIE

Wanafunzi wilayani Namtumbo wanasomea katika shule iliyoezekwa kwa nyasi.

Maasai Morans' traditional dance performance during Madaraka Day

MGUU UPANDE! SHUHUDIA GWARIDE LA ASKARI WA WANYAMAPORI WAKIHITIMU MAFUNZO "Jamani vumbi mnaliona"

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera

🔴 ADHA YA MAJI YAWALIZA WAKAZI WA MTONYA, NAMTUMBO

MVUA ZALETA MAAFA ZA SOMBA DARAJA

VGS 150 WAHITIMU MAFUNZO YA WANYAMAPORI, KUONGEZA UFANISI UTATUZI WA MIGOGORO YA KIUHIFADHI

CHUO CHA CBCTC NAMTUMBO KUANZISHA KOZI YA UTALII MACHI 2020

Big Brain Dkt. Juma Homera Aahidi Kupigania Maendeleo ya Namtumbo

Hatimaye wananchi wakubali kufanyiwa upasuaji Namtumbo

#site BAADA YA DR. HOMERA KULA KIAPO, WANANCHI NAMTUMBO WAELEZA MATUMAINI YAO

