Jinsi gani Tanzania na Uganda zitakavyonufaika na bomba mafuta la dola $3.5bn
Tanzania na Uganda watakuwa washirika wakuu wa biashara ya mafuta kutokana na ujenzi wa bomba la kusafirisha mafuta ghafi. Serikali hizo zimekubaliana katika masuala ya hisa, usafirishaji na ushuru katika hatua za awali za mradi huo ambao awali ulitarajiwa kupitia nchini Kenya na wala sio Tanzania. Bomba hilo litakuwa na urefu wa jumla ya Kilomita 1,443 kutoka eneo la Magharibi mwa Uganda mpaka kwenye bandari ya Tanga katika bahari ya Hindi nchini Tanzania. Mwandishi wa kitengo cha BBC Biashara Peter Mwangangi anaarifu zaidi #Bombalamafuta #UgandaTanzania #HoimaTanga

▶︎
#TBC 1: WEKEZA TANZANIA | UWEKEZAJI WA BILIONI 60 KIWANDA CHA MAFUTA SINGIDA

▶︎
Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

▶︎
MAAJABU! "HILI ni BOMBA la MAFUTA Refu Kuliko Yote DUNIANI" - RAIS MAGUFULI

▶︎
Matangazo ya Dira ya Dunia TV

▶︎
VIASHIRIA vya UWEPO WA NISHATI ya MAFUTA TANZANIA VYABAINIKA, PURA WAELEZA

▶︎
UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI KUKAMILIKA JULAI 2026

▶︎
HAMIS KIGGUNDU: BILIONEA MDOGO MWENYE UTAJIRI WA KUTISHA ALIYEANZIA KUUZA MITUMBA | THE BRAIN FOOD

▶︎
AMKA NA BBC - JUNI 30' 2026

▶︎
🔴#TBCLIVE: KISHINDO AWAMU YA SITA-UJENZI BOMBA LA MAFUTA WAENDELEA KWA KASI

▶︎
Emergency medical Team Rushed To Statehouse After Ruto Received Shocking Bad News

▶︎
MAFUTA YAMEGUNDULIKA TANZANIA ? MAJIBU HAYA HAPA "KUNA UJAZO WA TRILIONI 47 BAHARINI"

▶︎
KASI YA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA YAMUINUA BALOZI KISESA

▶︎
Uganda oil drilling within lake kyoga and pump via pipiline to Tanzania

▶︎
🔴#TBCLIVE: MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA (EACOP) WAFIKIA 65%

▶︎
Tanzania kuanza kuchimba Mafuta na Gesi Asilia mwaka 2026 kupitia mradi wake wa Eyasi Wembere.

▶︎
HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

▶︎
🔴#TBCLIVE: MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI (EACOP) KUTOKA UGANDA -TANZANIA

▶︎
I'M WARNING DCI & HAVE SUMMONED IG KANJA IN COURT! Babu Owino fumes in court over GenZ abductions

▶︎
BUNGE LA ULAYA LATAKA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA USIMAMISHWE MARA MOJA, UGANDA NA TANZANIA

▶︎
