SHANGAISHI ALENGWA? WAZEE WA VOI WAFICHUA YALIYOJIFICHA.
Je, Christopher Shangaishi analengwa kwa makusudi kupitia mitandao ya kijamii? Wazee wa Voi wamejitokeza na kuvunja ukimya kuhusu madai wanayosema yanalenga kuchafua jina la afisa huyo wa serikali. Katika mahojiano haya, wazee hao wanatoa maoni yao kuhusu taarifa na blogu mbalimbali zinazomhusisha Shangaishi, wakidai kuwa baadhi ya taarifa hizo hazina msingi na zinaweza kuwa sehemu ya kampeni ya kumharibia sifa. Wamemtaja Shangaishi kama mtu ambaye amekuwa akifanya kazi kwa karibu na wananchi na kuchangia maendeleo katika maeneo mbalimbali. Je, madai ya wazee hawa yana uzito gani? Tazama mahojiano haya kamili na ujisikie mwenyewe. Usisahau ku-Like, Comment na Subscribe kwa taarifa zaidi kutoka Voi, Taita Taveta na Kenya kwa ujumla. Join this channel to get access to perks: / @rangiletv Social Media Links: https://www.facebook.com/rangiletv/?m... / joel.mburia Twitter: / rangiletv / mburiajoel Email: [email protected]

POPE LEO XVI's POWERFUL MESSAGE TO JOURNALISTS LEAVES MOMBASA CATHOLICS REFLECTING DEEPLY

David Maraga questions High Court ruling, says Gachagua impeachment should have been annulled

Taita Taveta 2027: Tina G Aahidi Haki, Uwezeshaji wa Kina Mama na Mahakama Mashinani.

PLO LUMUMBA Explode: Macron and Ramaphosa in Panic

Exclusif : Ousmane Sonko déclare qu'"il n'y aura pas de déchirure" avec Bassirou Diomaye Faye

Inside A 325 MILLION KSH Private Jet In Kenya - Falcon 200

MATAPELI

FULL VIDEO KILICHOMPONZA MWENYEKITI WA MTAA HADI RC CHALAMILA KUAGIZA AKAMATWE | UTAPELI WA VIWANJA.

KTN investigation exposes illegal trade in Kenyan IDs, passports and birth certificates

Mwanamke wa Kijijini Alikuja Harusini Bila Bao, Kisha Mama Bilionea Akasimama Akilia

KASESE NRM CADRES COMMEND MUSEVENI’S CABINET AMIDST JUBILATION EVENT CANCELLATION

BALOZI AUWAWA KWA KUCHOMWA VISU ZAIDI YA 10 NDUGU WADAI HAKUWA NA UGOMVI NA MTU YEYOTE.

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

WANAWAKE WA MADINI WAFUNGUKA VOI! Serikali Yatoa Ahadi Kubwa kwa Wachimbaji.

VOI WASEMA WAZI: Karantini Kenya Ni Wazo Jema Au La?.

Prof. Peter Kagwanja Exposes the ‘ID Cards Auction’ and the Hidden Threat to Kenya’s 2027 Elections

EACC YAMPELEKA MAHAKAMANI ALIYEKUWA MSHAURI WA GAVANA WA KWANZA TAITA TAVETA.

MAMA MWENYE NYUMBA ADAIWA KUMKATA MAPANGA MPANGAJI WAKE NJOMBE AKIDAI ANATOKA KIMAPENZI NA MUME WAKE

Uruhara rwa UPRONA mubwicanyi bwabaye muri 1972//Igitigiri c'Abahutu bishwe ku ntwaro ya MICOMBERO

