Mzozo wa ardhi Diani
Familia moja eneo la Diani imejitokeza na kudai kuwa ndio wamiliki halali wa ardhi ya msikiti wa Kongo ya ekari 16 inayozozaniwa. Familia hiyo Inasema ilianza mchakato wa kusaka hati miliki ya ardhi hiyo mwaka wa 2005 kwa kwenda mahakamani. Miaka miwili baadaye mahakama ya Mombasa iliamuru sajili ya ardhi kuwapa cheti. Wanasema walitenga nusu ekari kwa ajili ya msikiti huo huku wakishikilia wao sio wanyakuzi wa ardhi kama ilivyodaiwa.

▶︎
Ardhi ya msikiti mkongwe Diani inazozaniwa

▶︎
ANGRY Oburu Odinga addresses Ruto on GOONS in State House today

▶︎
Historia ya Msikiti wa Kongo ambao uliratibiwa na serikali kuwa turathi ya kitaifa

▶︎
Listen what NO NONSENSE Martha Koome told Ruto face to face about Politicians in State House

▶︎
SO GOOD they got Bruno's Golden Buzzer MID-PERFORMANCE | Auditions | BGT 2023

▶︎
'DUNGA UNUSE' : Eneo mjini Mombasa, lililofahamika kwa mvinyo

▶︎
GLOVES OFF!! Listen to what Oburu said today in State House infront of Ruto and Martha Koome!🔥

▶︎
#LIVENAGEE: USIOE MOMBASA BILA KUJUA HAYA.

▶︎
Ethiopia | The Most Dangerous Train in the World | Deadliest Roads

▶︎
I left a life of luxury in America, only to come and live in isolation in Kenya | Tuko TV

▶︎
How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds

▶︎
Ruto FULL ANGRY Speech today in State House on Reparations for Victims of Human Rights Violations

▶︎
Man Rescues a Mother Bald Eagle Caught on a Fence – Her Chick Waits Below

▶︎
DAWA YA RUTO!! Watch how John Methu held Big Rally in Ol Kalou to campaign for DCP Candidate!

▶︎
MAPENZI YAGEUKA MAUTI LIKONI

▶︎
CAUGHT ON CAMERA: DIDMUS BARASA’S CASH HANDOUT CONTROVERSY EXPLODES

▶︎
“Ruto Left Speechless as DP Kindiki Drops Bombshell on Gen Z Police Killings!”

▶︎
Mombasa: Kina baba wafunguka na kuzungumzia hisia zao baada ya wanao kudhulumiwa

▶︎
Sahiwals Genetics and Artificial Insemination Kenya's Gold Part 2

▶︎
