RAIS SAMIA AMEKAMILISHA MRADI MKUBWA wa MAJI MAISOME - BUCHOSA kwa MBUNGE SHIGONGO...

RAIS SAMIA AMEKAMILISHA MRADI MKUBWA wa MAJI MAISOME - BUCHOSA kwa MBUNGE SHIGONGO... Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo ametiza ahadi ya ujenzi wa mradi mkubwa maji ya bomba utakao huduma wakazi 16983 wa kisiwa cha Maisome kilichopo Jimbo la Buchosa. Shigongo amemshukuru Rais Dk Samia Suluhu Hasan kwa kutoa fedha za kutekeleza mradi huu ambao utawasaidia wananchi kupata maji safi na salama. Mradi huo nimoja ya ahadi alizozitoa Kwa wananchi wa Maisome juu ya kuwaletea mradi wa maji ya bomba ili kuepuka kushambuliwa na mamba wakati wanapokwenda kuteka maji ziwa Victoria. " Katika jambo linaloniumiza Mimi Shigongo nikusikia taarifa ya mwananchi kupoteza maisha kwa kushambuliwa na mamba anapokwenda ziwa Victoria kufanya shughuli za kibinadamu huwa naumia sana ndiyo maana Leo nimeleta mradi maji ili kuondoa adha hiyo kwa wananchi, amesema Shigongo Kata ya Maisome ni miongoni mwaka Kata 11 kati ya Kata 21 zinazounda Halmashauri ya Buchosa zilizoko kandokando mwa ziwa Victoria ambazo wakazi wake hupoteza maisha kwa kushambuliwa na mamba wakati wanakwenda kufanya shughuli za kibinadamu ndani ya ziwa Victoria. Kisiwa cha Maisome ni miongoni mwa Kata 21 zinazounda Halmashauri Buchosa Ina vijiji vitatu ambavyo ni Kanoni, Busikimbi, Kisiba inaidadi ya watu 16983 na idadi ya kaya 1283 Wananchi wa kisiwa cha Maisome wamempongeza mbunge wa Buchosa Eric Shigongo kwa kuwaletea mradi wa maji ya bomba ambapo utawasadia wakazi hao kuacha kwenda ziwani na kuepuka kuliwa na mamba. ============================================================ ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI:    • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania!   ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

"RAIS MUONDOE MKURUGENZI WA BUCHOSA" - MBUNGE SHIGONGO AMUOMBA RAIS SAMIA..
▶︎

"RAIS MUONDOE MKURUGENZI WA BUCHOSA" - MBUNGE SHIGONGO AMUOMBA RAIS SAMIA..

TAZAMA KIONGOZI MBIO ZA MWENGE ALIVYOMUWASHIA MOTO MWALIMU KWA KUMDANGANYA
▶︎

TAZAMA KIONGOZI MBIO ZA MWENGE ALIVYOMUWASHIA MOTO MWALIMU KWA KUMDANGANYA

NILIMUOMBA KAKA ANILIPIE KODI YA MIEZI MITATU NIBAKI DAR | NIMETOKA KIJIJINI SANA | MAJID NSEKELA
▶︎

NILIMUOMBA KAKA ANILIPIE KODI YA MIEZI MITATU NIBAKI DAR | NIMETOKA KIJIJINI SANA | MAJID NSEKELA

MSUKUMA Avunja WATU MBAVU Akimnadi SHIGONGO - "USIENDELEE na SHULE, DEGREE Mbili ZINATOSHA"
▶︎

MSUKUMA Avunja WATU MBAVU Akimnadi SHIGONGO - "USIENDELEE na SHULE, DEGREE Mbili ZINATOSHA"

NYEHUNGE, GEITA: Rais Magufuli aamuru barabara ya lami ijengwe
▶︎

NYEHUNGE, GEITA: Rais Magufuli aamuru barabara ya lami ijengwe

CHALAMILA ALIVYOAGIZA MWENYEKITI AKAMATWE na POLISI BAADA ya KUDAIWA KUTAPELI WATU VIWANJA....
▶︎

CHALAMILA ALIVYOAGIZA MWENYEKITI AKAMATWE na POLISI BAADA ya KUDAIWA KUTAPELI WATU VIWANJA....

"KWA HIKI ALICHOKIFANYA kwa NINI NISIMPENDE?" - MBUNGE wa BUCHOSA ERIC SHIGONGO AELEZA kwa UCHUNGU..
▶︎

"KWA HIKI ALICHOKIFANYA kwa NINI NISIMPENDE?" - MBUNGE wa BUCHOSA ERIC SHIGONGO AELEZA kwa UCHUNGU..

JOTI - "SIKUWAHI KUFANYA KAZI na MAREHEMU ONYANGO LAKINI NILIKUWA NAPENDA KAZI ZAKE"...
▶︎

JOTI - "SIKUWAHI KUFANYA KAZI na MAREHEMU ONYANGO LAKINI NILIKUWA NAPENDA KAZI ZAKE"...

Südkorea – Tschechien Highlights | Gruppe A, FIFA WM 2026 | sportstudio
▶︎

Südkorea – Tschechien Highlights | Gruppe A, FIFA WM 2026 | sportstudio

World Cup Congo team gets warm welcome in Houston, as their country deals with health crisis
▶︎

World Cup Congo team gets warm welcome in Houston, as their country deals with health crisis

Hundreds of foreigners leave South Africa as xenophobia ramps up
▶︎

Hundreds of foreigners leave South Africa as xenophobia ramps up

TAPELI ALIYETUMIA JINA la RAIS SAMIA KUTAPELI KANISA APELEKWA PWANI KUJIBU TUHUMA KIBAO za UTAPELI
▶︎

TAPELI ALIYETUMIA JINA la RAIS SAMIA KUTAPELI KANISA APELEKWA PWANI KUJIBU TUHUMA KIBAO za UTAPELI

BODA BODA AGONGA TRENI - MUENDESHA PIKIPIKI ZINGATIA USALAMA UNAPOVUKA KATIKA KIVUKO CHA RELI
▶︎

BODA BODA AGONGA TRENI - MUENDESHA PIKIPIKI ZINGATIA USALAMA UNAPOVUKA KATIKA KIVUKO CHA RELI

HOTUBA ya RAIS SAMIA: AZITAKA TAASISI za FEDHA KUWA WABUNIFU - AFUNGUKA HAYA....
▶︎

HOTUBA ya RAIS SAMIA: AZITAKA TAASISI za FEDHA KUWA WABUNIFU - AFUNGUKA HAYA....

MASHIRIKA YOTE YASIYO ya KISERIKALI KUKUTANA DODOMA - WAFUNGUKA HAYA...
▶︎

MASHIRIKA YOTE YASIYO ya KISERIKALI KUKUTANA DODOMA - WAFUNGUKA HAYA...

RAIS wa SHIRIKISHO la FILAMU AWACHANA WASANII WANAOBAGUA MISIBA - "'WANAHARIBU  UTAMADUNI wa NCHI"..
▶︎

RAIS wa SHIRIKISHO la FILAMU AWACHANA WASANII WANAOBAGUA MISIBA - "'WANAHARIBU UTAMADUNI wa NCHI"..

When Tyson Faced the Smash Machine
▶︎

When Tyson Faced the Smash Machine

TRAORE’s Massive Agriculture Project for Burkina Faso
▶︎

TRAORE’s Massive Agriculture Project for Burkina Faso

BEI ya NYAMA ya NG'OMBE KILO ELFU 20! DAR - ARUSHA -SHINYANGA -DODOMA -MWANZA-MBEYA-TABORA HAIKAMATI
▶︎

BEI ya NYAMA ya NG'OMBE KILO ELFU 20! DAR - ARUSHA -SHINYANGA -DODOMA -MWANZA-MBEYA-TABORA HAIKAMATI

What I discovered about BURUNDI 🇧🇮 (and nobody talks about it)
▶︎

What I discovered about BURUNDI 🇧🇮 (and nobody talks about it)