"TUNATAKA MAPATO YA MJUSI WA TANZANIA AMBAYE YUKO UJERUMANI"

WABUNGE Kumi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameanzisha kamati maalum ya kuhakikisha sehemu ya mapato ya utalii yanayotokana na mabaki ya mjusi mkubwa aliyeko katika jumba la makumbusho Mjini Berlin nchini Ujerumani yanarejeshwa hapa nchini. Mjusi huyo anatambulika kwa jina la DINOSAUR ambaye mabaki yake yalivumbuliwa zaidi ya miaka 100 iliyopita katika eneo la Tendaguru mkoani Lindi. Tangu kugunduliwa kwa mabaki hayo na hata kusafirishwa hadi mjini Berlin nchini Ujerumani hakuna kiasi chochote cha mapato kilichowahi kurejeshwa hapa nchini ikiwa ni faida inayotokana na utalii wa mjusi huyo hali iliwalazimu wabunge hao wakiongozwa na mwenyekiti Riziki Lulida kuanzisha kamati hiyo itakayopambania maslahi ya Mjusi huyo hadi kufikia mwezi Juni mwaka huu. MAPAMBANO haya yanaungwa mkono na wabunge mbalimbali kutoka katika majimbo ya Tanzania Bara na upande wa Pili wa Zanzibar kwa maslahi mapana ya Taifa. Kwa upande wa Serikali kupitia kwa Naibu katibu Mkuu wa wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Allan Kijazi amewathibitishia wabunge hawa kuwa serikali itashirikiana nao ili kuhakikisha kuwa taifa linaanza kunufaika kupitia mabaki ya mjusi huyo.

Mjusi mkubwa zaidi duniani aliyegunduliwa Tanzania
▶︎

Mjusi mkubwa zaidi duniani aliyegunduliwa Tanzania

Hamidu Bobali alilia kurejeshwa nchini kwa Mjusi mrefu aliyewekwa makumbusho ya HUMBOLDT,Ujerumani
▶︎

Hamidu Bobali alilia kurejeshwa nchini kwa Mjusi mrefu aliyewekwa makumbusho ya HUMBOLDT,Ujerumani

TANESCO WAFIKA KWENYE MITAMBO ya GRIDI ya TAIFA KUFUATIA UMEME KUKATIKA NCHI NZIMA - WAOMBA RADHI...
▶︎

TANESCO WAFIKA KWENYE MITAMBO ya GRIDI ya TAIFA KUFUATIA UMEME KUKATIKA NCHI NZIMA - WAOMBA RADHI...

#TBCLIVE:KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE KATIKA MAKUMBUSHO YA TAIFA
▶︎

#TBCLIVE:KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE KATIKA MAKUMBUSHO YA TAIFA

የዕርቅ መንገድ የሰው እና የዝኆን ግጭት በጨበራ ጩርጩራ ብሔራዊ ፓርክ #wildlife #elephant #ተፈጥሮ #ጉዞ_ኢትዮጵያ #Guzo Ethiopia
▶︎

የዕርቅ መንገድ የሰው እና የዝኆን ግጭት በጨበራ ጩርጩራ ብሔራዊ ፓርክ #wildlife #elephant #ተፈጥሮ #ጉዞ_ኢትዮጵያ #Guzo Ethiopia

Jordanien – Argentinien Highlights | Gruppe J, FIFA WM 2026 | sportstudio
▶︎

Jordanien – Argentinien Highlights | Gruppe J, FIFA WM 2026 | sportstudio

KILIMO AJIRA YANGU, NAMNA YA KUANDAA CHAMBA LA MIKOROSHO 14.11.2020
▶︎

KILIMO AJIRA YANGU, NAMNA YA KUANDAA CHAMBA LA MIKOROSHO 14.11.2020

IJUE HISTORIA ya JIJI LA DAR ES SALAAM, IKULU ya MAGOGONI na CHAMWINO! WAZEE WASIMULIA kwa KINA!
▶︎

IJUE HISTORIA ya JIJI LA DAR ES SALAAM, IKULU ya MAGOGONI na CHAMWINO! WAZEE WASIMULIA kwa KINA!

BODA BODA AGONGA TRENI - MUENDESHA PIKIPIKI ZINGATIA USALAMA UNAPOVUKA KATIKA KIVUKO CHA RELI
▶︎

BODA BODA AGONGA TRENI - MUENDESHA PIKIPIKI ZINGATIA USALAMA UNAPOVUKA KATIKA KIVUKO CHA RELI

HISTORIA YA CHIEF MKWAWA/ KUPIGWA RISASI YA KICHWA/ VUVU KUPELEKWA UJERUMANI
▶︎

HISTORIA YA CHIEF MKWAWA/ KUPIGWA RISASI YA KICHWA/ VUVU KUPELEKWA UJERUMANI

#TAZAMA| MAPYA KUHUSU MABAKI YA MJUSI WA TANZANIA, UJERUMANI
▶︎

#TAZAMA| MAPYA KUHUSU MABAKI YA MJUSI WA TANZANIA, UJERUMANI

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.
▶︎

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

The Gallery of Ruto's Lies PART 1: Kenyans furious as Ruto’s promises turn into empty projects
▶︎

The Gallery of Ruto's Lies PART 1: Kenyans furious as Ruto’s promises turn into empty projects

WAZIRI SILAA AWAJIBU WANAOSEMA ANAINGILIA MAHAKAMA -AELEZA MADUDU YANAYOFANYWA na MATAPELI wa ARDHI
▶︎

WAZIRI SILAA AWAJIBU WANAOSEMA ANAINGILIA MAHAKAMA -AELEZA MADUDU YANAYOFANYWA na MATAPELI wa ARDHI

MIAKA MITATU YA KONDAKTA NICE, ANUNUA GARI YA MILIONI 17, "NIMEHAMIA SGR"
▶︎

MIAKA MITATU YA KONDAKTA NICE, ANUNUA GARI YA MILIONI 17, "NIMEHAMIA SGR"

Panama – England Highlights | Gruppe L, FIFA WM 2026 | sportstudio
▶︎

Panama – England Highlights | Gruppe L, FIFA WM 2026 | sportstudio

MAAJABU 15 YA MSITU WA AMAZON ''VOLDER''
▶︎

MAAJABU 15 YA MSITU WA AMAZON ''VOLDER''

The Gallery of Ruto's Lies PART 2: Kenyans furious as Ruto’s promises turn into empty projects
▶︎

The Gallery of Ruto's Lies PART 2: Kenyans furious as Ruto’s promises turn into empty projects

NIN GEEL U DHAQDA SI XARAGO LEH: MALINDI, KENYA.
▶︎

NIN GEEL U DHAQDA SI XARAGO LEH: MALINDI, KENYA.

LILITH ALIZAA NA ADAMU WATOTO 200 AKAWAGEUZA VIUMBE WA AJABU
▶︎

LILITH ALIZAA NA ADAMU WATOTO 200 AKAWAGEUZA VIUMBE WA AJABU