20: Kitabu Al-Kabair: Dhambi ya Uzinifu | Katazo la "Kuikaribia" Zinaa — الكبائر للإمام الذهبي

Karibu katika mwendelezo wa darsa zetu za Kitabu cha Al-Kabaair (Madhambi makubwa) kilichoandikwa na Imam Dhahabi (Rahimahullah) - Mfundishaji: Sheikh Ilyasaa Juma حفظه الله 00:00 - Utangulizi na Mapitio ya Darsa Iliyopita (Dhambi ya 10) 01:10 - Dhambi Kuu ya 11: Kukimbia Vitani (Al-Firaru Minaz-Zahfi) 02:13 - Hali gani inatafsiriwa kama Kukimbia Vitani? 03:38 - Mbinu za Kivita ambazo si Dhambi ya Kukimbia 05:11 - Ufafanuzi wa Jihadi ya Kisheria na Mauaji ya Kinyama 07:00 - Mipaka ya Jihadi: Katazo la Kuua Watoto, Wanawake na Wazee 09:52 - Dhambi Kuu ya 12: Zinaa (Az-Zina) 10:55 - Tofauti ya Ukubwa wa Dhambi ya Zinaa kulingana na mazingira 15:00 - Kisa cha Kijana aliyeomba ruhusa kwa Mtume (Swallallahu alayhi wasallam) kuzini 22:25 - Aya ya 1: Katazo la "Kuikaribia" Zinaa na maana yake 25:20 - Mambo yanayopelekea Zinaa: Kuchat, Makundi ya WhatsApp na Fitina 29:05 - Aya ya 2: Sifa za Waumini wa Kweli (Kuepuka Ushirikina, Mauaji na Zinaa) 31:45 - Hukumu za Kisheria kwa Mzinifu na nani anayestahiki kuzitekeleza 35:50 - Changamoto ya Uzinifu katika Jamii ya sasa 39:12 - Aya ya 3: Adhabu ya Viboko 100 kwa mzinifu ambaye hajaoa/kuolewa 45:07 - Kwa nini mwanamke ametajwa kwanza kwenye Aya ya Zinaa? 47:28 - Ushauri kwa aliyemfumania mkewe: Nini cha kufanya? 49:48 - Je, inafaa kumuoa au kumuoza binti kwa mzinifu? (Tofauti za rai) 59:50 - Umuhimu wa kuchagua mchumba mwenye dini na aliyehifadhika 01:02:20 - Hitimisho 🌍 Fuatilia darsa nyingine kupitia: @ManhajOnlineTV 🔗 Jiunge nasi kwa mitandao ya kijamii: Facebook | Instagram | Telegram | WhatsApp Tafadhali shiriki kwa kueneza mawaidha haya kwa wengine, nawe utakuwa sehemu ya kuisaidia Da’wah kwa njia ya kheri.

21: Kitabu Al-Kabair: Muendelezo wa Dhambi ya Uzinifu — الكبائر للإمام الذهبي | Sheikh Ilyasaa Juma
▶︎

21: Kitabu Al-Kabair: Muendelezo wa Dhambi ya Uzinifu — الكبائر للإمام الذهبي | Sheikh Ilyasaa Juma

RADDI KWA MUBARAK AWESI NA SHEIKH IZUDIN ALWY KUHUSU,HADITHIإن أبي وأباك في النارSEHEMU YA0️⃣4️⃣.
▶︎

RADDI KWA MUBARAK AWESI NA SHEIKH IZUDIN ALWY KUHUSU,HADITHIإن أبي وأباك في النارSEHEMU YA0️⃣4️⃣.

BAADHI YA MAFUNDISHO KATIKA KISA CHA NABII IBRAHIM
▶︎

BAADHI YA MAFUNDISHO KATIKA KISA CHA NABII IBRAHIM

IRAN WAMEUFUNGA MLANGO WA HORMUZ MAZIMA DUNIA IJIANDAE KUUMIA ZAIDI
▶︎

IRAN WAMEUFUNGA MLANGO WA HORMUZ MAZIMA DUNIA IJIANDAE KUUMIA ZAIDI

MISINGI YA DAA'WA SSALAFIYYAH ||🎙️USTADH ABUU ABDUL-RAHMAN NASSOR AL-KUUJANIY حفظه الله تعلى
▶︎

MISINGI YA DAA'WA SSALAFIYYAH ||🎙️USTADH ABUU ABDUL-RAHMAN NASSOR AL-KUUJANIY حفظه الله تعلى

JIEPUSHE NA DHULMA SHEIKH MSELEM BIN ALI
▶︎

JIEPUSHE NA DHULMA SHEIKH MSELEM BIN ALI

Waqtiga Maxaa Lumiya ?: Muxaadaro Cusub 2025 | ka faaideyso waqtigaaga #shmustafe @galbow1
▶︎

Waqtiga Maxaa Lumiya ?: Muxaadaro Cusub 2025 | ka faaideyso waqtigaaga #shmustafe @galbow1

NYUMBANI KWA PASTOR HAKUKALIKI BAADA YA MWANAWE KUWA MUISLAMU.
▶︎

NYUMBANI KWA PASTOR HAKUKALIKI BAADA YA MWANAWE KUWA MUISLAMU.

SHEIKH SHAFI AHOJI MASWALI MAGUMU JUU YA MUUNGANO KISA KAULI ZILIZOTOLEWA NA WABUNGE WA ZANZIBAR....
▶︎

SHEIKH SHAFI AHOJI MASWALI MAGUMU JUU YA MUUNGANO KISA KAULI ZILIZOTOLEWA NA WABUNGE WA ZANZIBAR....

Historia ya AL KAABA 🕋 Nini Kimefichwa Ndani Yake?
▶︎

Historia ya AL KAABA 🕋 Nini Kimefichwa Ndani Yake?

Adkaartaan ka akhriso Jinka iyo Shaydaanka - Qisooyin Macaan || Sh xassan Abu Salman 2026
▶︎

Adkaartaan ka akhriso Jinka iyo Shaydaanka - Qisooyin Macaan || Sh xassan Abu Salman 2026

Je, Unajua Malipo ya Kuwasitiri Wajane? Kisa cha Umar na Siri ya Kumsaidia Mjane Kipofu  | Usikose!
▶︎

Je, Unajua Malipo ya Kuwasitiri Wajane? Kisa cha Umar na Siri ya Kumsaidia Mjane Kipofu | Usikose!

Sheekooyinka Beenta Ah Ay Suufiyadu Sameesten | Sheikh Umal
▶︎

Sheekooyinka Beenta Ah Ay Suufiyadu Sameesten | Sheikh Umal

DHIKRI YA ALLAH NDIO INAYOTATUA MATATIZO SIO KWA MGANGA //SHEIKH OTHMAN MAALIM
▶︎

DHIKRI YA ALLAH NDIO INAYOTATUA MATATIZO SIO KWA MGANGA //SHEIKH OTHMAN MAALIM

19: Kitabu Al-Kabair: Kula Mchana wa Ramadhani & Kukimbia Vitani (Jihadi) — الكبائر للإمام الذهبي
▶︎

19: Kitabu Al-Kabair: Kula Mchana wa Ramadhani & Kukimbia Vitani (Jihadi) — الكبائر للإمام الذهبي

Sababu 10 za Kuondolewa Balaa na Mitihani | Sheikh Jamaludin Osman
▶︎

Sababu 10 za Kuondolewa Balaa na Mitihani | Sheikh Jamaludin Osman

(KHUTBA YA IJUMAA) NAMNA GANI TUTAAGA MWAKA NA TUPOKE MWAKA
▶︎

(KHUTBA YA IJUMAA) NAMNA GANI TUTAAGA MWAKA NA TUPOKE MWAKA

HAKUNA MUMIN ASOKUA NA MATATIZO
▶︎

HAKUNA MUMIN ASOKUA NA MATATIZO

Qiso Cajiib ah - Barbaarintii Nabi Muxamed SCW  || Sh Xassan Abu Salaman
▶︎

Qiso Cajiib ah - Barbaarintii Nabi Muxamed SCW || Sh Xassan Abu Salaman

NGUVU YA ADHKARI, MAISHA YA KABURINI NA CHANGAMOTO ZA MALEZI. SHEYKH; HASSAN AHMED
▶︎

NGUVU YA ADHKARI, MAISHA YA KABURINI NA CHANGAMOTO ZA MALEZI. SHEYKH; HASSAN AHMED