20: Kitabu Al-Kabair: Dhambi ya Uzinifu | Katazo la "Kuikaribia" Zinaa — الكبائر للإمام الذهبي
Karibu katika mwendelezo wa darsa zetu za Kitabu cha Al-Kabaair (Madhambi makubwa) kilichoandikwa na Imam Dhahabi (Rahimahullah) - Mfundishaji: Sheikh Ilyasaa Juma حفظه الله 00:00 - Utangulizi na Mapitio ya Darsa Iliyopita (Dhambi ya 10) 01:10 - Dhambi Kuu ya 11: Kukimbia Vitani (Al-Firaru Minaz-Zahfi) 02:13 - Hali gani inatafsiriwa kama Kukimbia Vitani? 03:38 - Mbinu za Kivita ambazo si Dhambi ya Kukimbia 05:11 - Ufafanuzi wa Jihadi ya Kisheria na Mauaji ya Kinyama 07:00 - Mipaka ya Jihadi: Katazo la Kuua Watoto, Wanawake na Wazee 09:52 - Dhambi Kuu ya 12: Zinaa (Az-Zina) 10:55 - Tofauti ya Ukubwa wa Dhambi ya Zinaa kulingana na mazingira 15:00 - Kisa cha Kijana aliyeomba ruhusa kwa Mtume (Swallallahu alayhi wasallam) kuzini 22:25 - Aya ya 1: Katazo la "Kuikaribia" Zinaa na maana yake 25:20 - Mambo yanayopelekea Zinaa: Kuchat, Makundi ya WhatsApp na Fitina 29:05 - Aya ya 2: Sifa za Waumini wa Kweli (Kuepuka Ushirikina, Mauaji na Zinaa) 31:45 - Hukumu za Kisheria kwa Mzinifu na nani anayestahiki kuzitekeleza 35:50 - Changamoto ya Uzinifu katika Jamii ya sasa 39:12 - Aya ya 3: Adhabu ya Viboko 100 kwa mzinifu ambaye hajaoa/kuolewa 45:07 - Kwa nini mwanamke ametajwa kwanza kwenye Aya ya Zinaa? 47:28 - Ushauri kwa aliyemfumania mkewe: Nini cha kufanya? 49:48 - Je, inafaa kumuoa au kumuoza binti kwa mzinifu? (Tofauti za rai) 59:50 - Umuhimu wa kuchagua mchumba mwenye dini na aliyehifadhika 01:02:20 - Hitimisho 🌍 Fuatilia darsa nyingine kupitia: @ManhajOnlineTV 🔗 Jiunge nasi kwa mitandao ya kijamii: Facebook | Instagram | Telegram | WhatsApp Tafadhali shiriki kwa kueneza mawaidha haya kwa wengine, nawe utakuwa sehemu ya kuisaidia Da’wah kwa njia ya kheri.

21: Kitabu Al-Kabair: Muendelezo wa Dhambi ya Uzinifu — الكبائر للإمام الذهبي | Sheikh Ilyasaa Juma

RADDI KWA MUBARAK AWESI NA SHEIKH IZUDIN ALWY KUHUSU,HADITHIإن أبي وأباك في النارSEHEMU YA0️⃣4️⃣.

BAADHI YA MAFUNDISHO KATIKA KISA CHA NABII IBRAHIM

IRAN WAMEUFUNGA MLANGO WA HORMUZ MAZIMA DUNIA IJIANDAE KUUMIA ZAIDI

MISINGI YA DAA'WA SSALAFIYYAH ||🎙️USTADH ABUU ABDUL-RAHMAN NASSOR AL-KUUJANIY حفظه الله تعلى

JIEPUSHE NA DHULMA SHEIKH MSELEM BIN ALI

Waqtiga Maxaa Lumiya ?: Muxaadaro Cusub 2025 | ka faaideyso waqtigaaga #shmustafe @galbow1

NYUMBANI KWA PASTOR HAKUKALIKI BAADA YA MWANAWE KUWA MUISLAMU.

SHEIKH SHAFI AHOJI MASWALI MAGUMU JUU YA MUUNGANO KISA KAULI ZILIZOTOLEWA NA WABUNGE WA ZANZIBAR....

Historia ya AL KAABA 🕋 Nini Kimefichwa Ndani Yake?

Adkaartaan ka akhriso Jinka iyo Shaydaanka - Qisooyin Macaan || Sh xassan Abu Salman 2026

Je, Unajua Malipo ya Kuwasitiri Wajane? Kisa cha Umar na Siri ya Kumsaidia Mjane Kipofu | Usikose!

Sheekooyinka Beenta Ah Ay Suufiyadu Sameesten | Sheikh Umal

DHIKRI YA ALLAH NDIO INAYOTATUA MATATIZO SIO KWA MGANGA //SHEIKH OTHMAN MAALIM

19: Kitabu Al-Kabair: Kula Mchana wa Ramadhani & Kukimbia Vitani (Jihadi) — الكبائر للإمام الذهبي

Sababu 10 za Kuondolewa Balaa na Mitihani | Sheikh Jamaludin Osman

(KHUTBA YA IJUMAA) NAMNA GANI TUTAAGA MWAKA NA TUPOKE MWAKA

HAKUNA MUMIN ASOKUA NA MATATIZO

Qiso Cajiib ah - Barbaarintii Nabi Muxamed SCW || Sh Xassan Abu Salaman

