VIJANA 5 SELELA WADAIWA KUVAMIWA NA KUPIGWA NA WANANCHI WA LEPURKO KISA MIPAKA YA MALISHO MIAKA 10.

Mwenyekiti wa Halmashauri ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Selela, Mhe. Kisioki Moitiko, ameiomba Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Monduli kumaliza mgogoro wa mipaka uliodumu kwa zaidi ya miaka 10 kati ya Kata ya Selela na Mbaash Lepurko wilayani humo. Mhe. Moitiko alitoa rai hiyo alipokuwa akizungumza na wafugaji, malaigwanani pamoja na vijana wa Selela waliojitokeza kuwazuia kwa nguvu wafugaji wa Lepurko waliokuwa wameingiza mifugo yao katika eneo la malisho la Mbaash upande wa Kata ya Selela. Kabla ya kuiomba ofisi ya Mkuu wa Wilaya kumaliza mgogoro huo, ambao tayari umesababisha majeraha kwa baadhi ya wafugaji, aliwataka pande zote kuacha mara moja matumizi ya nguvu. Aidha, aliahidi kushirikiana na Mkuu wa Wilaya kuhakikisha mgogoro huo unapatiwa suluhisho la kudumu kwa njia ya amani. Kwa upande wao, wananchi wa Kata ya Selela walimuahidi kiongozi huyo kuwa wataacha kutumia nguvu na kuomba juhudi za kutafuta suluhu zifanyike kwa haraka, huku wakisisitiza umuhimu wa kudumisha amani na mshikamano na majirani zao

“HUU NI URITHI WA MABABU ZETU” | Vijana Wazungumzia Uchinjaji wa Dume la Rika
▶︎

“HUU NI URITHI WA MABABU ZETU” | Vijana Wazungumzia Uchinjaji wa Dume la Rika

VIONGOZI WA FAMILIA YA ILOODOKISHU UKOO WA LAIZER WAKUTANA SIMANJIRO, KUSOMA KATIBA YAO
▶︎

VIONGOZI WA FAMILIA YA ILOODOKISHU UKOO WA LAIZER WAKUTANA SIMANJIRO, KUSOMA KATIBA YAO

"TUNARITHISHA MAADILI YA KIMASAI KWA KIZAZI KIJACHO" | FULL INTERVIEW IRMEGOLIKI NGAGE
▶︎

"TUNARITHISHA MAADILI YA KIMASAI KWA KIZAZI KIJACHO" | FULL INTERVIEW IRMEGOLIKI NGAGE

SINANDEI MAKKO ATANGAZA DIRA YA KUWAUNGANISHA WAMASAI AFRIKA MASHARIKI.
▶︎

SINANDEI MAKKO ATANGAZA DIRA YA KUWAUNGANISHA WAMASAI AFRIKA MASHARIKI.

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu
▶︎

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

WANAWAKE 50 WA RUVU REMIT- SIMANJIRO WATEMBELEA VIKUNDI VYA SARA BANK MONDULI.
▶︎

WANAWAKE 50 WA RUVU REMIT- SIMANJIRO WATEMBELEA VIKUNDI VYA SARA BANK MONDULI.

KWAYA MAALUM KWENYE HARAMBEE YABl UJENZI WA SHULE YA KONYEK
▶︎

KWAYA MAALUM KWENYE HARAMBEE YABl UJENZI WA SHULE YA KONYEK

KILIO CHA ARDHI CHATAWALA MKUTANO WA MBUNGE MILYA NA WANANCHI NABERERA-ZIARA MAALUM.
▶︎

KILIO CHA ARDHI CHATAWALA MKUTANO WA MBUNGE MILYA NA WANANCHI NABERERA-ZIARA MAALUM.

Ruto Wins 2027 Elections as Maasai Leaders Vow TUTAM is a Must over Amboseli National Park!
▶︎

Ruto Wins 2027 Elections as Maasai Leaders Vow TUTAM is a Must over Amboseli National Park!

BINTI ALIYEPEWA MIMBA NA MWALIMU WA TIMU, POLISI KATA WAMEFANYA UZEMBE - RC SENDIGA
▶︎

BINTI ALIYEPEWA MIMBA NA MWALIMU WA TIMU, POLISI KATA WAMEFANYA UZEMBE - RC SENDIGA

MAA TALK EP 13 OLE PAKUO 1
▶︎

MAA TALK EP 13 OLE PAKUO 1

PART 02: ARUSHA YASIMAMA, MKASA WAKUSIKITISHA WA MAMA HUYU MBELE YA RC MAKONDA
▶︎

PART 02: ARUSHA YASIMAMA, MKASA WAKUSIKITISHA WA MAMA HUYU MBELE YA RC MAKONDA

Emayian Eokoto e Kule Irkimayiana Mbaash, Selela
▶︎

Emayian Eokoto e Kule Irkimayiana Mbaash, Selela

#Twende Lungulueni: We hike Mbiti hill in Machakos County
▶︎

#Twende Lungulueni: We hike Mbiti hill in Machakos County

DIWANI MFEREJI NA MARAFIKI ZAKE WATOA NG'OMBE 14 KWA MFANYABIASHARA WA NG'OMBE LUCAS KWA JUHUDI ZAKE
▶︎

DIWANI MFEREJI NA MARAFIKI ZAKE WATOA NG'OMBE 14 KWA MFANYABIASHARA WA NG'OMBE LUCAS KWA JUHUDI ZAKE

WAZIRI MKUU AISHIWA PAWA MFANYABIASHARA KUVUNJIWA NYUMBA ZAKE DODOMA
▶︎

WAZIRI MKUU AISHIWA PAWA MFANYABIASHARA KUVUNJIWA NYUMBA ZAKE DODOMA

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.
▶︎

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.

INJINIA ALIYEJENGA SHULE za KATA ARUSHA TANGU 2007 HAJALIPWA PESA - AMEFILISIKA - MAKONDA AHUZUNIKA
▶︎

INJINIA ALIYEJENGA SHULE za KATA ARUSHA TANGU 2007 HAJALIPWA PESA - AMEFILISIKA - MAKONDA AHUZUNIKA

NGORONGORO RASMI SASA KUANZA KWA  JANDO BAADA YA HATUA HII YA ENKIPAATA YA IRMEGOLIKI KUMALIZIKA.
▶︎

NGORONGORO RASMI SASA KUANZA KWA JANDO BAADA YA HATUA HII YA ENKIPAATA YA IRMEGOLIKI KUMALIZIKA.

Day 2: MILYA AINGILIA KATI SAKATA LA ARDHI NABERERA,AANDIKA BARUA KWA DED SIMANJIRO KUOMBA UFAFANUZI
▶︎

Day 2: MILYA AINGILIA KATI SAKATA LA ARDHI NABERERA,AANDIKA BARUA KWA DED SIMANJIRO KUOMBA UFAFANUZI