FAMILIA YA KIMASIKINI INAISHI NYUMBA ISIYO NA DIRISHA KIJIJINI MGONJWA NDANI MIAKA 6, HATUNA CHAKULA
Familia ya Kalenzo Ndalusanze (52), mkazi wa Kijiji cha Bukirilo wilayani Kakonko, mkoani Kigoma, inapitia kipindi kigumu sana cha maisha baada ya mke wake kuugua kwa muda mrefu bila kupata matibabu stahiki kutokana na ukosefu wa uwezo wa kifedha. Akizungumza kwa huzuni, baba wa familia hiyo amesema wanaishi katika nyumba isiyofaa kwa makazi ya binadamu, huku wakati mwingine wakikosa kabisa chakula. Hali hiyo imezidi kuwa ngumu zaidi kutokana na ugonjwa wa mama wa familia ambaye amelazimika kubaki ndani kwa miaka sita bila msaada wowote wa kitabibu. Familia hiyo inaomba msaada kutoka kwa Watanzania wenye moyo wa huruma ili waweze: 1. Kumtibu mgonjwa 2. Kupata chakula cha uhakika 3. Kujengewa makazi bora 👉 Kwa yeyote atakayeguswa na simulizi hii na angependa kutoa msaada, unaweza kuchangia kupitia: 📞 +255 697 14 29 25 (Jina: Ally Ismail – Airtel Money) Mchango wako, hata uwe mdogo kiasi gani, unaweza kurejesha tabasamu kwa familia hii inayopitia wakati mgumu sana.

MWALIMU AGEUKIA BIASHARA YA KUOKOTA MAKOPO, APITIA MAGUMU "NILIITWA MWIZI, NILIONA KIFO NA MACHO"

ALIKIBA ATEMA NYONGO, HARMONIZE KUWACHUKUA WASANII WAKE AMPA MAKAVU LIVE

KIJANA ALIYEACHA UCHAWI KWA LAZIMA, ALIANGUKA NA UNGO, AJUTA, NIMEPOTEZA MUDA KWA VITU VYA KIJINGA"

MAMA ALIYEZUIA KIJANA KELVIN ASIUAWE ARUSHA AONESHA KANISA LAKE, APEWA SHILINGI LAKI TANO

MZEE ERNESTO ANAYEISHI NA WAKE 16 "7 KATI YAO NI MTU NA DADA YAKE WAMENIPENDA WENYEWE"

BAADA YA KUMWAMBIA MKEWE ARUDI NYUMBANI AKAPUMZIKE MKE AGOMA KURUDI/AOMBA TALAKA

TAHARUKI: CCTV YANASA MABAUNSA WAKIDAIWA KUONDOKA NA MAGETI, WANANCHI WAILILIA SERIKALI IINGILIE

Scars from Russia: Former KDF pilot narrates his escape from Russia war, going for days without food

DOGO GENIUS WA KIGOMA MCHUNGA NG'OMBE APATA MSAADA WA MASOMO ''NITASHANGAZA DUNIA''

MALI ZA MABILIONI ZA HANSPOPE ZATAKA KUUZWA, MZIGO DENI LA BILIONI 7 LILILOKOPWA BAADA YA KUFARIKI

MFANYABIASHARA AVAMIWA AKIWA NA MKEWE NA KUKATWA MAPANGA MAZOEZINI ALFAJIRI, WALIGOMA KUCHUKUA FEDHA

Asking Strangers To Transform Their BROKEN House.. For FREE

USIKU WA VITA KIBAHA, DAMU YAMWAGIKA MABAUNSA WAWILI WAFARIKI, NYUMBA 20 ZABOMOLEWA

I was 12 when my mum left me in the house sleeping, I have never seen her again | Tuko TV

OPARESHENI ONDOA VISPIKA KWENYE MASOKO DAR GUMZO KWA WAFANYABIASHARA, DC AFAFANUA "NI MARUFUKU"

WANANCHI MBARALI WATAKA MWENYEKITI WA KIJIJI ALIYEVULIWA MADARAKA KUREJESHWA, "TUTAFIKA KWA RAIS"

🛑COLONEL RUGABO YEMEJE KO TWIRWANEHO YAFASHE MIKENKE | IBYA P5 KUVA I BURUNDI | IBYO GUTERA U RWANDA

MTIFUANO WA URITHI WA MALI KWA WAKE WENZA,WAKILI ATAJA MSIMAMO WA MAHAKAMA, "MGOGORO UMETENGENEZWA"

MTOTO APOTEA ARUSHA SIKU YA 8, MWENZAKE 'KUBWA' AIBA SODA NA ELFU 11 DUKANI, MAMA ASEMA ALIPATA HOFU

