Maandiko yasema - Gladys Mueni Victor

#jipangesawasawa. Mathayo 7:21-23 Si kila aniambiaye, ‘Bwana, Bwana’, ataingia katika ufalme wa mbinguni; ila ni yule tu anayetimiza matakwa ya Baba yangu aliye mbinguni. Wengi wataniambia siku ile ya hukumu: ‘Bwana, Bwana Kwa jina lako tulitangaza ujumbe wako, na kwa jina lako tuliwatoa pepo na kufanya miujiza mingi’. Hapo nitawaambia: ‘Sikuwajua nyinyi kamwe; ondokeni mbele yangu, enyi watenda maovu.’ Asante kwa kutazama, tafadhali subscribe kwenye YouTube channel yangu, like na kushare na wengine. Mungu akubariki sana. #GladysMueni ©2022 Administered by Ngomma VAS Limited. #gladysmueni #gospelsongs #gladysvictor