#BREAKINGNEWS: Polisi yawaachia kina Mbowe kwa dhamana, wengine wakwama
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limethibitisha kuwashikilia na kuwahoji viongozi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wapatao 520 na kuwaachia huru baadhi yao kwa dhamana. Pia limesema ambao hawakuachiwa ni wale walioshindwa kukidhi masharti ya dhamana au kuwa na makosa zaidi ya moja, ikiwemo jinai. Limesema halitasita kuchukua hatua kwa yeyote atakayekiuka sheria na taratibu za nchi kwa kuiga mataifa mengine. Akizungumza usiku huu Agosti 12, 2024 Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi hilo nchini, Awadhi Haji amesema Agosti 11 walikamatwa 375, ikiwa wanaume 261 na wanawake 114 na leo Agosti 12 wamekamata 145, wanaume 112 na wanawake 33. "Kati ya watuhumiwa waliokamatwa kwa kosa la kukaidi kuendelea na safari kuja Mbeya, walikuwemo viongozi wakuu wa Chadema waliokamatiwa mkoani hapa eneo la Kadege, ambao ni Makamu Mwenyekiti Tundu Lisu, Katibu Mkuu, John Mnyika, Mwenyekiti wa Kanda, Joseph Mbilinyi 'Sugu', Katibu Mwenezi wa Bavicha Taifa, Twaha Mwaipaya na Makamu Bavicha, Moza Ally. Soma zaidi katika tovuti ya Mwananchi. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj

Mbowe atia mguu madai ya Lissu, Mnyika na Sugu kukamatwa Mbeya

''DUNIA ya SASA SIYO MAKOMANDO WANAOVUNJA MATOFALI WATAPIGWA na DRONE'' - BABA LEVO AWAVUNJA MBAVU

POLISI YATHIBITISHA KUWASHIKILIA MBOWE NA WENZAKE

Kiwewe cha ‘polygamist’: Je wanawake wengi wanaezapenda mume mmoja kwenye ndoa | Gumzo La Sato

Jordanien – Argentinien Highlights | Gruppe J, FIFA WM 2026 | sportstudio

KIPONDO KIMETEMBEA KWA VIGOGO CHADEMA, SUGU MAHUTUTI| POLISI WALIMRUSHA LISSU KWENYE GARI

HATUBEMBELEZI PUNDA KWA MTEREMKO.Meru MPs face Ruto amid grabbing Meru forest to build State lodge

KALONZO KAZI YAKE NIKURANDARANDA TU! NA KUENDA MAANDAMANO" RUTO LOSE TEMPER AND LECTURE OPPOSITION!!

AHMED ALLY AFUNGUKIA PAREDI LA UBINGWA, JANGWANI IILIVYOUMIZWA KUIFUNGA SINGIDA, MUDA WOWOTE ITAKUFA

The amazing invention of a 65-year-old carpenter amazed engineers! Homemade woodworking tools.

#live RAIS SAMIA AKIMPOKEA RAIS NETUMBO NANDI-NDAITWAH, IKULU DAR ES SALAAM JUNI 20, 2026

UAMUZI WA MBOWE BAADA YA WAFUASI WA CHADEMA KUKAMATWA "AMEKATISHA MAOMBOLEZO”

BILA GVN ORENGO MANDAMANO HAINGEKUA!NURU OKANGA SAYS

Ethiopia is About to Explode.

#BREAKING: RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI MZITO wa MAWAZIRI - UMMY AONDOLEWA - KABUDI na LUKUVI NDANI...

Ruto heart attack as New DCP SG John Methu holds Mega Rally in Ol Kalou to sell DCP Candidate!🔥

"HATUJUI MBOWE NA LISSU WALIPO" CHADEMA WACHACHAMAA KUKAMATWA KWA VIONGOZI WAO

Male lion attacks over 20 hyenas

#live RAIS SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA JENGO LA TIBA YA MIONZI KWA WAGONJWA WA SARATANI, KCMC MOSHI

