Dalili za Presha kwa Mjamzito au Shinikizo kubwa la Damu kwa Mjamzito | Dalili za Kifafa cha Mimba!

Presha ya Ujauzito, Presha ya Mimba, Shinikizo kubwa la Presha kwa Mjamzito, Kifafa Cha Mimba, Kifafa Cha Ujauzito, Presha kubwa kwa Mjamzito, Kifafa Cha Mimba Miezi Mitatu ya katikati, Kifafa Cha Mimba Miezi Mitatu ya mwishoni mwa Ujauzito, Presha ya Ujauzito na Dr.Mwanyika Kuna baadhi ya akina Mama wajawazito huweza kupata shinikizo kubwa la Damu na wakaishia kupata kifafa cha Mimba katika kipindi fulani cha Ujauzito, 70% ya Wajawazito hao huwa ni wale wanaopata Ujauzito kwa mara ya kwanza uzeeni (Miaka 35 kwenda juu) au katika umri mdogo chini ya miaka 21. Presha kutokana na Ujauzito/Mimba hujulikana kama ongezeko la shinikizo la damu kuanzia 140/90mmHg kuanzia wiki ya 20 (Miezi 5) kwenda juu kwa Mama ambaye alikuwa hana Presha kabla ya Ujauzito na huweza kupungua katika wiki 4 au 6 mara baada ya kujifungua na hata kama ikiendelea kuwepo basi huwa haizidi wiki 12 tokea Mama ajifungue. Vihatarishi vinavyopelekea Mama/Dada kuwa na Presha kubwa katika Ujauzito wake. 1. Mimba ya kwanza Uzeeni au Utotoni! 2. Historia ya Presha kwa Mama yake mzazi. 3. Magonjwa ya kurithi mfano upungufu wa Protini C na S au (APS). 4. Matatizo kutokana na Kondo la nyuma mfano Mama mjamzito mwenye Kisukari au Mapacha. 5. Uzito Mkubwa / Fetma. 6.Baba Mpya. Dalili za Presha kutokana na Ujauzito ni kama; 1. Kuongezeka kwa presha zaidi ya 140/90mmHg. 2. Maumivu ya kichwa yasiyopungua kwa kutumia dawa za maumivu. 3. Kuvimba Miguu ghafla au mwili mzima ikihusisha usoni. 4. Kupata shida ya kuona au kuona wenge. 5. Maumivu ya tumbo upande wa kulia sehemu ya juu! 6. Kukojoa Mkojo kidogo. 7. Kupata shida kwenye damu kwa sababu ya upungufu wa seli zinazogandisha Damu. 8. Kuongezeka kwa Protini kwenye Mkojo. 9. Kushindwa kupumua. KUMBUKA; Uonapo Dalili hizo wakati wa Ujauzito basi unatakiwa kupata ushauri kutokwa kwa Mkunga au Daktari ili kuhakikisha unakuwa na Afya! NB: Ukitaka kujifunza zaidi ni fuatilie YouTube kwa jina la Dr.Mwanyika au bonyeza link hapo 👇👇👇👇    / drmwanyika   Ukiwa unamaswali unaweza kuuliza hapa chini (kwenye comments za youtube). Subscribe,Comment and Share JapideAfya_Services Your Health is Our Health Instagram as @JapideAfya_Services Facebook page as @JapideAfya_Services ©Dr.Mwanyika. #MamaAfya #PreshaMjamzito #JapideAfya_Services

Fahamu jinsi upandikizaji mimba unavyofanyika hatua kwa hatua
▶︎

Fahamu jinsi upandikizaji mimba unavyofanyika hatua kwa hatua

Je Mjamzito Kujua Taarifa Za Kwenye Kadi ya Kliniki Katika Kipindi Chote Cha Ujauzito Ni Lazima?
▶︎

Je Mjamzito Kujua Taarifa Za Kwenye Kadi ya Kliniki Katika Kipindi Chote Cha Ujauzito Ni Lazima?

Shinikizo la damu kwa mama mjamzito
▶︎

Shinikizo la damu kwa mama mjamzito

Sikiliza Dalili za Kifafa cha Mimba na Madhara Yake kwa Mjamzito?
▶︎

Sikiliza Dalili za Kifafa cha Mimba na Madhara Yake kwa Mjamzito?

Je Muwasho ktk Ujauzito huwa ni Dalili ya nini? | Mambo gani ya kufanya ili kuondokana na muwasho?
▶︎

Je Muwasho ktk Ujauzito huwa ni Dalili ya nini? | Mambo gani ya kufanya ili kuondokana na muwasho?

Presha ya Mimba. Jinsi ya Kujikinga Usipate. Zingatia haya
▶︎

Presha ya Mimba. Jinsi ya Kujikinga Usipate. Zingatia haya

TATIZO LA NGIRI: Sababu, Dalili, Matibabu, Kuzuia
▶︎

TATIZO LA NGIRI: Sababu, Dalili, Matibabu, Kuzuia

Je ni kwa nini Mapigo ya Moyo kwenda mbio kwa Mjamzito?? | Mapigo ya Moyo kwenda mbio kwa Mjamzito??
▶︎

Je ni kwa nini Mapigo ya Moyo kwenda mbio kwa Mjamzito?? | Mapigo ya Moyo kwenda mbio kwa Mjamzito??

Dalili za uchungu kwa Mjamzito | Ni zipi dalili za uchungu kwa Mama Mjamzito??
▶︎

Dalili za uchungu kwa Mjamzito | Ni zipi dalili za uchungu kwa Mama Mjamzito??

🩺 UNDERSTAND THIS AND YOU COULD SAVE A LIFE! | Dr. Janabi Explains Stroke in Simple Terms
▶︎

🩺 UNDERSTAND THIS AND YOU COULD SAVE A LIFE! | Dr. Janabi Explains Stroke in Simple Terms

Presha Kubwa Kiasi ya Ujauzito na Matumizi ya Dawa
▶︎

Presha Kubwa Kiasi ya Ujauzito na Matumizi ya Dawa

Je Kukosa Pumzi /Kupumua Haraka Kwa Mjamzito Hutokana  NA Nini? (Jinsi Kupunguza Kupumua Kwa Shida )
▶︎

Je Kukosa Pumzi /Kupumua Haraka Kwa Mjamzito Hutokana NA Nini? (Jinsi Kupunguza Kupumua Kwa Shida )

Dalili hatari kwa Mjamzito | Dalili za hatari kwa Mama Mjamzito
▶︎

Dalili hatari kwa Mjamzito | Dalili za hatari kwa Mama Mjamzito

Dalili za mimba ya Mapacha
▶︎

Dalili za mimba ya Mapacha

Je Presha Ya Kushuka Kwa Mjamzito Sababu Ni Nini?(Dalili na Madhara Yake Yapi Na Jinsi ya Kuongeza)!
▶︎

Je Presha Ya Kushuka Kwa Mjamzito Sababu Ni Nini?(Dalili na Madhara Yake Yapi Na Jinsi ya Kuongeza)!

Mjamzito kuvimba miguu | Kuvimba miguu kwa Mjamzito husababishwa na nini???
▶︎

Mjamzito kuvimba miguu | Kuvimba miguu kwa Mjamzito husababishwa na nini???

Hizi ni Dalili za Kujifungua za Mwanzoni kwa Mjamzito! | Je Dalili za mwanzoni za Uchungu ni zipi?
▶︎

Hizi ni Dalili za Kujifungua za Mwanzoni kwa Mjamzito! | Je Dalili za mwanzoni za Uchungu ni zipi?

Dalili za Mimba ya Mtoto wa kiume / Je kuna ukweli katika dalili hizi za mtoto wa kiume tumboni????
▶︎

Dalili za Mimba ya Mtoto wa kiume / Je kuna ukweli katika dalili hizi za mtoto wa kiume tumboni????

Presha Ya Uongo : Wengi Hupewa Majibu Yasiyo Sahihi - Hospital Presentation
▶︎

Presha Ya Uongo : Wengi Hupewa Majibu Yasiyo Sahihi - Hospital Presentation

Je Kulala Upande WA Kulia Kwa Mjamzito Ni Sahihi? (Kulalia Kulia Ktk Ujuazito Ni Sawa AU Lah?).
▶︎

Je Kulala Upande WA Kulia Kwa Mjamzito Ni Sahihi? (Kulalia Kulia Ktk Ujuazito Ni Sawa AU Lah?).