RC MWASA AWALIPUA WANACHEZEA JINA LAKE "NILIZALIWA CCM, NITAFIA CCM"
KAGERA: MKUU wa Mkoa wa Kagera, Ajath Fatma Mwasa, amewakemea vikali wanaoeneza uzushi kwamba anashiriki siasa katika Jimbo la Bukoba Mjini, akisisitiza kuwa yeye ni mtumishi wa umma na hana dhamira ya kushiriki masuala ya kisiasa. Akizungumza na waandishi wa habari mkoani humo, Mwasa alitoa msimamo wake kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu, akibainisha kuwa ana imani kubwa na ushindi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) chini ya uongozi wa Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya ya Bukoba Mjini, Joas Zachwa. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: / spotileo-176. . HabariLeo: / habarileo DailyNews: / dailynewstz INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

ALICHOKISEMA IGP MSTAAFU SIRRO KUHUSU RPC ABWAO

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story

Cooking A Massive Lamb Pilaf For a Mountain Village Feast!

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

Mwanasheria Mkuu CHADEMA amjibu waziri Katambi zuio la Mikutano vyama vya siasa.

#BREAKING: WAZIRI KATAMBI APIGA STOP CCM - CHADEMA KUFANYA MIKUTANO - TISHIO LA MAANDAMANO SABASABA

BABALEVO AMVAA WAZIRI KATAMBI AAKATA LA WANAJESHI | UNASUBILIWA NJE ULIPE HELA ZAO | AMJIA JUU

KINACHOENDELEA MUDA HUU SHIRATI, RORYA

TAZAMA MSAFARA WA RAIS SAMIA ULIVYOWASILI KCMC KUZINDUA JENGO LA TIBA YA MIONZI

Mikutano ya hadhara ya kisiasa Tanzania, yapigwa marufuku

NERVOUS 12-Year-Old Who Can Sing Without Opening Her Mouth Earns Mel B's GOLDEN BUZZER!

Couple spends ONE YEAR restoring a 100-year-old stone house in Italy | by @ateliermavi

TUACHE KABISA MAGARI YA ANASA- SPIKA ZUNGU

MKEWE LISSU ASHINDWA KUZUIA MACHOZI AKIONGEA MBELE YA KAMATI YA HAKI ZA BINADAMU YA JUMUIYA YA ULAYA

RAIS SAMIA ATOA MAAGIZO HAYA KCMC

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'

30 Reasons Why Kenya Is Not What You Expect

MAPYA YAIBUKA: CHANZO CHA AJALI YA NDEGE BUKOBA I KIJANA MAJALIWA AFUNGUKA KWA HISIA NI..

