WIZARA YA AFYA IMETOA TAHADHARI KWA WANANCHI KUTOKUBALI KURUBUNIWA NA MTANDAO WA UTAPELI WA AJIRA.

Akitoa Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari Waziri Wa Wizara Hiyo Mh Nassor Ahmed Mazrui Amesema Wizara Haihusiki Na Utapeli Huo Ambao Wahusika Wamekuwa Wakijitambulisha Kuwa Ni Maafisa Wa Wizarani. Amefahamisha Kuwa Wizara Ya Afya Ilitangaza Nafasi Za Kazi Kwa Kada Ya Afya Ikiwemo Za Wauguzi, Maabara Na Wafamasia Pamoja Na Madaktari Bingwa Lakini Hakuna Nafasi Ya Ajira Kwa Wanaofanya Usafi. Amefahamisha Kuwa Wizara Imeingia Mkataba Na Kampuni Za Usafi Kwa Ajili Ya Kufanyakazi Katika Hospitali Zake Hivyo Ni Vyema Wananchi Kuomba Ajira Kupitia Huko Ili Kuepuka Kutapeliwa. Aidha Mh Mazrui Amewataka Wananchi Kufahamu Kuwa Hakuna Ajira Zinazonunuliwa Na Kutoendelea Kutapeliwa Ambapo Wizara Kwa Sasa Inashirikiana Na Jeshi La Polisi Na Mamlaka Ya Kuzuwia Rushwa Ili Kuutafuta Mtandao Huo Na Kuuchukulia Hatua. Hivi Karibuni Kumejitokeza Mtandao Wa Matapeli Kuwapigia Simu Wananchi Kutangaza Ajira Ambapo Hutakiwa Kutoa Kati Ya Shilingi Laki Tano Hadi Milioni Moja Ili Kupata Nafasi Hizo Za Kazi.

🔴#Live: HABARI NJEMA! DAWA MPYA ya HIV (UKIMWI) YAANZA KUTUMIKA... | MAISHA na AFYA - VOA
▶︎

🔴#Live: HABARI NJEMA! DAWA MPYA ya HIV (UKIMWI) YAANZA KUTUMIKA... | MAISHA na AFYA - VOA

TV ART SLIDESHOW 24/7 | Vintage Floral Gallery 🌼4K Framed Art Screensaver for Living Room
▶︎

TV ART SLIDESHOW 24/7 | Vintage Floral Gallery 🌼4K Framed Art Screensaver for Living Room

China’s Giant Cassava Flour Factory Exposed
▶︎

China’s Giant Cassava Flour Factory Exposed

🔴 #ZBCLIVE:- ASUBUHI NJEMA - JUMATATU - 29/06/2026
▶︎

🔴 #ZBCLIVE:- ASUBUHI NJEMA - JUMATATU - 29/06/2026

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT
▶︎

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

How US Air Force B 52 Pilot Performed an Emergency Takeoff at Full Speed
▶︎

How US Air Force B 52 Pilot Performed an Emergency Takeoff at Full Speed

Cooking A Massive Lamb Pilaf For a Mountain Village Feast!
▶︎

Cooking A Massive Lamb Pilaf For a Mountain Village Feast!

🔴 #ZBCLIVE:- TAARIFA A HABARI -JUMAPILI- 28/06/2026
▶︎

🔴 #ZBCLIVE:- TAARIFA A HABARI -JUMAPILI- 28/06/2026

Afghan most Famous Kabuli Pulao | Pakistani Karahi | Biryani recipe | Roasted chicken | Street food
▶︎

Afghan most Famous Kabuli Pulao | Pakistani Karahi | Biryani recipe | Roasted chicken | Street food

Make Headlights Like Crystal Clear with Aluminum Foil-This Crazy Trick Actually Works!
▶︎

Make Headlights Like Crystal Clear with Aluminum Foil-This Crazy Trick Actually Works!

MAKALA MAALUM YA KIWANDA CHA KMTC KAMPUNI TANZU YA SHIRIKA LA TAIFA LA MAENDELEO (NDC).
▶︎

MAKALA MAALUM YA KIWANDA CHA KMTC KAMPUNI TANZU YA SHIRIKA LA TAIFA LA MAENDELEO (NDC).

Famous Biryani Street Food in Afghanistan | kabuli pulao recipe | Roasted Chicken
▶︎

Famous Biryani Street Food in Afghanistan | kabuli pulao recipe | Roasted Chicken

Kolumbien – Portugal Highlights | Gruppe K, FIFA WM 2026 | sportstudio
▶︎

Kolumbien – Portugal Highlights | Gruppe K, FIFA WM 2026 | sportstudio

DK. HUSSEIN MWINYI AMESEMA ZANZIBAR INA MENGI YA KUJIFUNZA KUTOKA MOROCCO KATIKA UTALII NA  UVUVI.
▶︎

DK. HUSSEIN MWINYI AMESEMA ZANZIBAR INA MENGI YA KUJIFUNZA KUTOKA MOROCCO KATIKA UTALII NA UVUVI.

Building an Amazing Underground Den Deep in the Wild | Full Process
▶︎

Building an Amazing Underground Den Deep in the Wild | Full Process

How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds
▶︎

How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds

Incredibly tasty spaghetti ready in 10 minutes! A quick, delicious pasta dinner recipe!
▶︎

Incredibly tasty spaghetti ready in 10 minutes! A quick, delicious pasta dinner recipe!

Mahkama ya Zanzibar yakutana na wadau kujadili kuanza kuanza rasm kwa mfumo  wa ECMS
▶︎

Mahkama ya Zanzibar yakutana na wadau kujadili kuanza kuanza rasm kwa mfumo wa ECMS

VIONGOZI WA TAASISI ZA UMMA KATAVI WAKUMBUSHWA WAJIBU WA KULINDA MALI ZA SERIKALI.
▶︎

VIONGOZI WA TAASISI ZA UMMA KATAVI WAKUMBUSHWA WAJIBU WA KULINDA MALI ZA SERIKALI.

TOUGH QUESTIONS FROM REPORTERS TO GERSON MSIGWA
▶︎

TOUGH QUESTIONS FROM REPORTERS TO GERSON MSIGWA