Rais Magufuli akagua magari ya jeshi yatakayosomba korosho, atoa onyo kali (TUKIO ZIMA)

Rais Magufuli leo tarehe 10 Novemba, 2018 amekagua magari ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) yaliyoandaliwa kwa ajili ya kubeba korosho za wakulima endapo wanunuzi binafsi hawatatii maagizo ya Serikali ifikapo Jumatatu tarehe 12 Novemba, 2018 saa 10:00 Jioni. “Nataka kuwahakikishia wakulima wa korosho Serikali ipo na itaendelea kuwapigania, ikifika Jumatatu saa 10:00 jioni, hawa wanunuzi binafsi hawajajitokeza na kueleza watanunua tani ngapi, Serikali itanunua korosho zote na fedha za kununulia zipo” amesema Mhe. Rais Magufuli. Rais Magufuli amefanya ukaguzi huo katika Kambi ya Jeshi ya Twalipo, Kikosi cha Usafirishaji cha 95KJ Mgulani Jijini Dar es Salaam ambapo magari 75 yenye uwezo wa kubeba tani 1,500 kwa mpigo yameandaliwa kwa ajili ya kubeba korosho katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma, Pwani na Tanga. Rais Magufuli amebainisha kuwa baada ya kununua korosho, Serikali itatafuta soko na korosho nyingine zitabanguliwa kwa ajili ya soko la ndani na nje ya nchi. Rais Magufuli amesema Serikali inalazimika kuchukua hatua hizi baada ya wanunuzi binafsi kufanya mgomo wa kununua korosho kwa kusuasua licha ya kufanya nao mazungumzo na kufikia makubaliano tarehe 28 Oktoba, 2018 Jijini Dar es Salaam.

MAGUFULI  AKIZINDUA MAJENGO YA CHUO CHA MAAFISA WA POLISI KURASINI
▶︎

MAGUFULI AKIZINDUA MAJENGO YA CHUO CHA MAAFISA WA POLISI KURASINI

EMS አሁናዊ መረጃ፣ቀጥታ Mon 08Jun 2026
▶︎

EMS አሁናዊ መረጃ፣ቀጥታ Mon 08Jun 2026

MSHIKEMSHIKE - AZAM TV 08/06/2026
▶︎

MSHIKEMSHIKE - AZAM TV 08/06/2026

Jaji Warioba Aongea: Ripoti ya Chande, Maridhiano, Katiba, Aonya Kuzuia Mawazo: Watanzania Wanaogopa
▶︎

Jaji Warioba Aongea: Ripoti ya Chande, Maridhiano, Katiba, Aonya Kuzuia Mawazo: Watanzania Wanaogopa

| MONDAY REPORT | LAW OF IMPEACHMENT | CHARLES KANJAMA |
▶︎

| MONDAY REPORT | LAW OF IMPEACHMENT | CHARLES KANJAMA |

🔴#LIVE​​​: RAIS MAGUFULI Akizindua MAKAO MAKUU ya JESHI la MAGEREZA - "KUNA HARUFU ya RUSHWA"..
▶︎

🔴#LIVE​​​: RAIS MAGUFULI Akizindua MAKAO MAKUU ya JESHI la MAGEREZA - "KUNA HARUFU ya RUSHWA"..

RAIS SAMIA ALIVYOYARUHUSU MAGARI KUPITA RASMI DARAJA JIPYA LA KIGONGO BUSISI MWANZA
▶︎

RAIS SAMIA ALIVYOYARUHUSU MAGARI KUPITA RASMI DARAJA JIPYA LA KIGONGO BUSISI MWANZA

LIVE: UFUNGUZI WA KIWANDA CHA NGOZI - ACE LEATHER TANZANIA LIMITED - KIHONDA
▶︎

LIVE: UFUNGUZI WA KIWANDA CHA NGOZI - ACE LEATHER TANZANIA LIMITED - KIHONDA

ZILIZOBAMBA MITANDAONI | Gharib Mzinga atia neno andiko la Ally Kamwe
▶︎

ZILIZOBAMBA MITANDAONI | Gharib Mzinga atia neno andiko la Ally Kamwe

Inside UN Aviation: IL-76 Humanitarian Airdrop Mission
▶︎

Inside UN Aviation: IL-76 Humanitarian Airdrop Mission

Tuhuma za Kujifanya Mwanajeshi
▶︎

Tuhuma za Kujifanya Mwanajeshi

Chris Rwakasisi Moves Ruto and Kenyans to Tears as he Narrates how Museveni Jailed him for 24 Years!
▶︎

Chris Rwakasisi Moves Ruto and Kenyans to Tears as he Narrates how Museveni Jailed him for 24 Years!

Nigeria: ‘Renewed Hope’ or ‘Hopelessness’? | Mehdi Hasan and Daniel Bwala | Head to Head
▶︎

Nigeria: ‘Renewed Hope’ or ‘Hopelessness’? | Mehdi Hasan and Daniel Bwala | Head to Head

LIVE; RAIS MAGUFULI AKIZINDUA   DARAJA LA UBUNGO INTERCHANGE
▶︎

LIVE; RAIS MAGUFULI AKIZINDUA DARAJA LA UBUNGO INTERCHANGE

Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV
▶︎

Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV

RAIS MAGUFULI AWAIBUKIA WANAJESHI KIJESHI, SALUTI KAMA ZOTE
▶︎

RAIS MAGUFULI AWAIBUKIA WANAJESHI KIJESHI, SALUTI KAMA ZOTE

2027: Pairing Of Peter Obi In South With Anybody In North Will Beat Tinubu — Udenta
▶︎

2027: Pairing Of Peter Obi In South With Anybody In North Will Beat Tinubu — Udenta

Watch: Xi Jinping arrives to grand welcome in Pyongyang for state visit to DPRK
▶︎

Watch: Xi Jinping arrives to grand welcome in Pyongyang for state visit to DPRK

VIWANJANI | Yanayombamba kuelekea fainali za Kombe la Dunia 2026
▶︎

VIWANJANI | Yanayombamba kuelekea fainali za Kombe la Dunia 2026

JWTZ KUANDAA MKUTANO WA MAJESHI DUNIANI,WANAJESHI  ZAIDI YA 100 KUKUTANA TANZANIA
▶︎

JWTZ KUANDAA MKUTANO WA MAJESHI DUNIANI,WANAJESHI ZAIDI YA 100 KUKUTANA TANZANIA