USITEMBEE Kwa MIGUU! CHUKUA GARI KWENYE MNADA HUU Kwa BEI ya JIONI...
USITEMBEE Kwa MIGUU! CHUKUA GARI KWENYE MNADA HUU Kwa BEI ya JIONI... MASETO Auctioneer & Debt Collectors ni kampuni ya Udalali inayojihusisha na ukusanyaji wa madeni sugu na kufanya minada ya bidhaa Mbalimbali zilizotaifishwa kisheria ambapo Makao Makuu yake ni Maeneo ya Lumumba Mnazi mmoja jijini Dar es salaam. Hata hivyo Kampuni hii inafanyakazi na taasisi za kifedha kama vile, mabenki, SACCOS, Serikali pamoja na watu binafsi. KAMPUNI imeandaa mnada Maeneo ya Sinza jijini Dar es salaam ambapo wanatarajiwa kuuza magari mbalimbali yaliyopata ajali kwa bei nafuu kabisa, ambayo ukirekebisha kidogo tu yanaingia barabarani yakiwa mapya kabisa... MASETO Auctioneer & Debt Collectors wanapatikana kwa namba zinazoonekana hapa chini CC: @msetoauctioneer www.masetodebtcollectors.co.tz Phone: 0787288442 au 0623382878

Fahamu jinsi ya kupata GARI kupitia NANASI kwa kulipa kidogo kidogo, bei ni nafuu, kila mtu anaiweza

TANZANIA YASHITAKIWA MAHAKAMA ya KIMATAIFA ya HAKI za BINADAMU AFRIKA kwa KESI NNE - HUKUMU YATOKA..

NYUMBANI KWA TAJIRI WA KUUZA MAGARI ALIYEACHA KAZI POLISI, ANATAJIRISHWA KWA MITANDAO

Orodha ya magari yaliyonunuliwa zaidi TZ kwa mwaka 2023, yajue ya bei rahisi na jinsi ya kuyapata

NYUMBANI KWA MC GARA B, UTAJIRI WAKE, MILIONI ANAZOINGIZA "NIMEPITIA MATESO KUFIKIA NILIPO"

TOYOTA RUMION - DR.MECHANICS (Gari lako).

UKITAKA KUAGIZA GARI NJE HUU NDIYO USHURU UNAOTAKIWA KULIPIA TRA,MATREKTA YAPATA MSAMAHA WA KODI

Aina 6 za magari ya bei ndogo kwa unayeanza maisha - Mr Sabyy

FUNDI SEREMALA Aliyeibukia Kuwa Tajiri Mkubwa Na Kampuni Yake Ya TOYOTA ''VOLDER''

UCHAGUZI WA GARI KWA KIGEZO CHA CC

UTASHANGAA HAYA MADINI YANAPATIKANA TANGA, BILIONEA AMWAGA AJIRA NYINGINE, YEYE ANAISHI KWENYE HEMA.

HARMORAPA AMKATAA P DIDDY NILIKUWA NALALA NA LIL WAYNE TU SIO P DIDDY

BINGWA WA MAGARI USED (GARI LINAUZWA) AFUNGUKA! "NUNUA GARI HIZI ILI USIFIRISIKE"

TAZAMA RIPOTA ALIVYONASWA NA JESHI LA POLICE, BAADA YA KUVAMIA KAMPUNI YA KUUZA MAGARI 😭😭😭😭😭😭😭

RAIS SAMIA APANGUA SWALI MBELE ya PUTIN - 'KAMA RAIS MWANAMKE UNAWEZAJE KUMUDU UCHUMI wa TANZANIA?'

Gari ndogo ya umeme inayotumia umeme wa elfu 1 na kutembea km 100

Man Builds a $3 Million BUGATTI Replica at Home | Start to Finish by @HAI SUPERCAR

BEI ZA MAGARI ISHIRINI NA MBILI (22) MAPYA KABISA HIZI APA/TAZAMA MAGARI 22 NA BEI ZAKE

TOYOTA HILUX ROCCO 2020, PUNDA, GARI YA KAZI NA KUTEMBELEA. MIXED UTILITY 4x4 DOUBLE CABIN PICK UP

