Mashujaa wa vita ya kagera waomba kufanyiwa sensa

aadhi ya Mashujaa waliopigana vita ya Kagera wameiomba serikali kufanya sensa ili kufahamu idadi ya wapiganaji wake kwa lengo la kupata utambuzi ya waliofariki na waliohai. Wakizungumza jijini Arusha katika maadhimisho ya kumbukumbu ya siku ya mashujaa nchini, ambayo yamehudhuriwa na viongozi wa dini watendaji wa serikali wakiongozwa na mkuu wa mkoa wa Arusha,John Mongela pamoja na Maofisa wa jeshi wakiwemo wastaafu ambapo wamesema sensa hiyo itasaidia serikali kufahamu maendeleo ya