Ipi dini Ya Manabii na Mitume, part 2 Mwalimu Yohana Omar X Imam's response

Mada Hii ya Je ni Ipi dini ya Mitume na Manabii wa zamani ilijadiliwa mjini Mombasa Baina ya Waislamu wakiongozwa naye Sheikhy Mazinge, Said Juma Kinyogoli, Said Mwaipopo, Sheikhy Ishmail na wengineo Huku upande wa Wakristo wakiongozwa na kundi la Injili Timilifu Mombasa , Mwalimu Chaka Mwana wa Musa, Mwinjilisti na Mwalimu Yohana Omar, Muhammad Mgaze, Mwalimu Sospeter Mathai, Mwalimu Martin Ndaa, Mwalimu Fondo na wengineo