WALIOSOMA MILAMBO SEC. MIAKA 50 ILIYOPITA (AMSHA) WARUDI KUPANDA MBEGU KWA WANAFUNZI WENZAO
Miongoni mwa viongozi waliosoma Milambo Sekondari ni pamoja na Ndugu Nehemia Mchechu - Mrajisi wa Hazina Tanzania, Dkt. Emmanuel Tutuba – Gavana wa Benki Kuu ya Tanazania, Wakili Camilius Wambura – Inspekta Generali wa Polisi (IGP), Mhe. Balozi Said Mshana – Balozi wa Tanzania Nchini DRC, Balozi James Gallawa Bwana – Balzoi wa Tanzania Nchini Afrika ya Kusini, Bwa abdulrazak Badru – Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Serikali (PSSSF), Bwana Godfrey Mbanyi – Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugazi (PSPTB) Kwa habari na Matukio yote Muhimu yenye Maslahi mapana kwa UMMA, wasiliana nasi kwa +255 764 736 372, +255 787 721 965 Barua pepe, [email protected], Tufuatilie katika Mitandao yetu ya Kijamii, Youtube, Twitter, Facebook na Instagram kwa jina la Torontotv Tabora. "Toronto Online Tv - habari na matukio tumekufikia"

HISTORIA YAANDIKWA MILAMBO SEC. BAADA YA MIAKA 50 KUPITA, VIGOGO WALIOSOMA HAPA WAREJEA NA "AMSHA"

MJUE TUTUBA, GAVANA MPYA wa BENKI KUU ya TANZANIA - NI NANI? MAJUKUMU YAKE? WATANGULIZI WAKE?...

WANAFUNZI WAHUNI WA SEKONDARI YA MILAMBO-TABORA WALIOTAKA KUCHOMA SHULE MOTO WAKIONA CHA MTEMAKUNI.,

FIZI BARAKA / UJENZI NA MAENDELEO KATIKA KATA LA AEBAZ JIJINI BARAKA

TAPELI WA TABORA "AFISA FEKI WA IKULU" KUKABIDHIWA KWA DC - PETRO MAGOTI - KISARAWE KWA KIBANO ZAIDI

UTEKAJI IGUNGA: MREMBO AHUSIKA, KISA UGUMU WA MAISHA ATUMWA NA MUME WAKE, MIL.20 ZAMTOKEA PUANI

WANAFUNZI FORM 6 WALIOTAKA KUCHOMA MILAMBO SEKONDARI WADAKWA, RC AWAKA “WALIZIMA TAA SHULE NZIMA"

SIRI YA MAFANIKIO MAKUBWA YA ST MARY'S MAZINDE JUU KATIKA MITIHANI YA TAIFA

ARUDI SHULE ALIYOSOMA (MILAMBO SEC.) BAADA YA MIAKA 50 KUPITA APEWA MAAGIZO MAZITO NA MKUU WA SHULE

🔴LIVE:JOHN HECHE ANAISIMAMISHA IRINGA MJINI MUDA HUU, MOTO UNAWAKA

TARURA TABORA YAPOKEA BIL. 1.6 MIRADI MITANO YA CERC, UTEKELEZAJI UMEFIKIA ASILIMIA 80

VIFO: WIVU WA MAPENZI WAMUUA REBEKA NA FELISTER KWA KUCHOMWA MOTO CHUMBANI, MTUHUMIWA AKAMATWA

😭INAUMA SANA MWANAFUNZI SEKONDARI YA BUKIMAU ALIYEUAWA NA WENZAKE KWA TUHUMA ZA WIZI WA RADIO

RC CHACHA ASIMULIA ALIVYOKAMATWA NA IGP WAMBURA ENZI ZA MGOMO WA UDSM 2010, IGP NAYE ANENA ENZI ZA..

BARAKA FIZI / TAZAMA NAMNA YA UJENZI NA MAENDELEO KATIKA KATA LA MATATA

VURUGU MILAMBO SEC - MKUU wa MKOA AWATIMUA WANAFUNZI WALIODAIWA KUTISHIA KUCHOMA SHULE - WAKAMATWA..

TRUMP ATOA AHADI KWA DUNIA LEO HAIISHI ‘’MTAJUA NITAENDA KUIFANYA NINI IRAN’’ HAPA TUMEFIKA PABAYA

Usichokijuwa kuhusu jamii ya Wapemba wa Kenya | GUMZO MAALUM

WALIOMUUA MCHINA WAPIGWA PINGU NA JESHI LA POLISI DAR

