subira - Sadaka zinaongeya (vidéo officiel lyrics) #Sadaka_zinaongeya

Ni vema kushukuru Mungu wetu Kwa mema yote anayo tu tendeya na tukusanye sadaka zetu kwake mahana sadaka zina ongeya Hata myaka zipite, hata myezi zipite sadaka uliza mu toleya Mungu Zita ongeya. Abeli ali mutoleya Mungu sadaka,ijabo ali kufa sadaka zake Zili ongeya Daudi ali mu toleya Mungu sadaka nono, ijapo ali kufa sadaka zake zika ongeya Solomono ali mutoleya Mungu sadaka nono, kapata Hekima sadaka yake ika ongeya Ezekiya ali mutoleya Mungu sadaka nono, hakufa tena sadaka yake ika ongeya Wewe kaa vizuri na Mungu,towa sadaka Kwa moyo na wala usi jali sadaka zako Zita ongeya. Zina ongeya ,zina ongeya ,zina ongeya oh oh oh oh oh Zina ongeya Kwa safari, Kwa masomo, Kwa watoto, Kwa kazi, Kwa mugonjwa,Kwa maitaji,Kwa shida zote za Maisha sadaka zina ongeya Dorcas tabita kashoneya wa Jane ijapo ali kufa yeye ka ishi tena. Mama mujane wa sarepta ka mupa Eliya mukate na maji tu, kapo la unga na ile chupa ya Mafuta aiku koma mwake. Naku tiya moyo una weye towa Kwa moyo wa machozi, Mungu ana ona .....sadaka yako ita ongeya. Kumbe sita hali,kumbe sita tishwa ,kumbe nita towa sadaka zangu ziongeye Weye mwenye una toka Kwa machozi usi ofu kwani Mungu ana ona na izo sadaka zako Zita ongeya hata myaka,myezi na ma siku zipite kuna siku izi sadaka zako Zita ongeya Kwa mahana Mungu si muzalimu wala yeye hasemi uongo.... Mungu akuna bariki kupitiya iyi nyimbo na wewe uanze kutowa sadaka yako Kwa bidii na Kwa imani izo sadaka zako Zita ongeya. #gospel #clip #maajabu #cover #songs #subira #talent #chretien