SHEIKH SALUMU AFICHUA MAKUBWA KUHUSU UTAPELI WA WAGANGA WA MITANDAONI!
MMOJA wa Waganga maarufu wa Asili mkoani Shinyanga amewatahadharisha Watanzania kujihadhari na Waganga wa Tiba asili wanaojitangaza kwenye mitandao ya Kijamii ambao wengi wao si wa kweli bali ni Matapeli. Mganga huyo Sheikh Salum maarufu kwa jina la Dotto Ngassa Ngelela mkazi wa Kata ya Ibadakuli Manispaa ya Shinyanga amesema waganga wengi wa tibaasili wa hivi sasa wametanguliza mbele suala la fedha badala ya kutoa tiba halisi kwa wanaohitaji tiba. Amesema yeye ni anafanya kazi ya Uganga kwa kuwasaidia watu kupata mahitaji yao muhimu ya kimaendeleo ikiwemo kuwapa NDAGU ya kutakasa nyota na kusafisha biashara kwa wafanyabiashara. Na kwamba tiba zake hazihusiani na magonjwa mbalimbali. https://www.youtube.com/channel/UCcCo... / kahamatvonline #KAHAMATVONLINE #HABARIZAHIVIPUNDE

TAMKO LA WANA SHINYANGA KUHUSU JESHI LA POLISI!! RPC ARONGA!!!

SHEIKH KISHKI AVUNJA UKIMYA AWEKA MAMBO YOTE HADHARANI AFUNGUKA UCHAWI KWA UCHAWI INAFAA?

Most Cheap Street food in Afghanistan | Kabuli pulao, Roasted Chicken, Biryani recipe, Punjabi Curry

My Husband Went Missing After Going to Buy Milk, 6 Months Later I Found Him a Mad Man

How He Cuts This 478kg GIANT Bluefin Tuna Will Blow Your Mind #MonsterTuna

Show Me The 300 Jobs You Created After 300 Ghanaians Left! | Julius Malema

60 Monster Waves Caught on Camera

“You’ll Never Be Like Us.” Until 500KG Happened 🔥

BARAZA LA UWT SHY DC LATOA TAMKO KUHUSU MAANDAMANO! KATIBU AELEKEZA!!

Amazing Damascus sword making process | How Damascus swords are made

WADAU KUWASA WALIA KUKOSEKANA MAGARI YA MAJI TAKA, MITA KUCHAKAA NA KULIPA GHARAMA KUBWA ZA BILI

PADRI AUKANA UTATU NA KUAHIDI KUWAFUNZA MAASKOFU WAKE TAUHIDI.

MOST CHEAP STREET FOOD IN AFGHANISTAN | KABULI PULAO | ROAS CHICKEN | BIRYANI RECIPE | STREET FOOD

"Soon u won't be a president's Son.." Akena Obote wonders why a 27th in hierarchy control everything

Unbelievable Smart Worker & Hilarious Fails | Construction Compilation #5 #adamrose #smartworkers

PLO Lumumba BLASTS South Africa: "This Is Not Xenophobia, It's Afrophobia"

Aina 3 za Ndoto | Sheikh Jamaludin Osman

Incredible Safari Moments Caught on Camera

MBUNGE CHEREHANI AANDIKA HISTORIA SEKONDARI YA SABASABINI!! DIWANI ATOA NENO!!

