Jinsi ya Kujenga Biashara ya Uhakika Online | Mambo 3 ya Kuzingatia
Nenda https://onlineprofits.co.tz/bure kupata mafunzo ya BURE kutoka kwetu. Kama wewe ni mjasiriamali unayehangaika kujenga biashara ya uhakika kwenye mtandao wa internet au kupitia mitandao ya kijamii (social media), basi unatakiwa kuzingatia mambo haya matatu (3): 1. Tafuta traffic: Hii ni idadi ya watu wanaotakiwa kuona bidhaa/huduma zako kila siku 2. Jenga jukwaa: Hili ni kundi la watu wenye kukujua kukupenda na kuamini. Ukijenga jukwa la namna hii, uuzaji wa bidhaa/huduma unayotoa itakuwa ni jambo rahisi mno. 3. Branding: Branding ni njia itakayokusaidia kujenga biashara ya uhakika kwa kipindi kirefu (long-term business). Bila ya branding utakuwa unauza bidhaa/huduma kitu ambacho kitakuingiza katika ushindani mkubwa sokoni. Tags: Jenga biashara ya uhakika, traffic, jukwaa, branding, mitandao ya kijamii, social media, pata wateja, fanya mauzo, tengeneza pesa, nasa wateja, dr. said, dr. said said,

TUMIA UBUNIFU HUU KUVUTIA WATEJA WENGI NA KUPATA FAIDA KUBWA KWENYE BIASHARA YAKO | Victor Mwambene.

Jinsi ya Kujenga Biashara ya Kitaalamu Mtandaoni | Ingiza Milioni 3 Kwa Hatua 3

SMART TALK (2): Kwenye SALES, Kwanini Follow Up ni muhimu, Unafanyaje ili isionekane USUMBUFU?

JINSI YA KUFANYA BIASHARA YA MTANDAONI - ELIA SEREKA

From Young Founder to Millionaire: Building a Tech Company at 24

Jinsi ya Kupata Wazo Zuri ya Biashara

JINSI YA KUPATA WATEJA WENGI MTANDAONI (Instagram, Facebook & TikTok) | Victor Mwambene.

VITU MUHIMU VYA KUZINGATIA KABLA YA KUANZA BIASHARA

NAMNA YA KUANZA BIASHARA. Hizi ni hatua ambazo unaweza kuzitumia kuanza biashara.

Biashara zinazolipa Zaidi Mtandaoni. Biashara za mtandaoni / online Business

Jinsi Gani Ya Kupata Wateja Wengi Katika Biashara Yako Kupitia Mtandao Bila Ya Kuweka Matangazo

Episode 2 : Je,Ufanye biashara gani?

JINSI YA KUANZA NA KUKUZA BIASHARA

Jinsi ya Kusave Pesa Hata Kama Huna Pesa

Hizi ndo aina za uwekezaji kwa mTanzania. With Salum Awadh (Financial Advisor)

MAMBO YA KUZINGATIA ILI BIASHARA YAKO IFANIKIWE - JOEL NANAUKA

NJIA ZA KUTIMIZA MAONO YAKO | AHAZI NGESSY

Fahamu namna "Conscious" na "Unconscious/Subconscious" minds zinafanya kazi, hasara na faida zake

Lesson 10: How to write a business plan.

