Makamo wa Kwanza awasili Pemba, atahutubia katika ufungaji kampeni Mtambwe
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Othman Masoud Othman, leo Jumatano Oktoba 25, 2023 amewasili Kisiwani Pemba, kwa Ziara Maalum ya Siku 4, kwaajili ya Shughuli mbali mbali za Chama na Serikali. Katika Uwanja wa Ndege wa hapa Pemba, Mheshimiwa Othman ambaye ameambatana na Mke wake, Mama Zainab Kombo Shaib, amepokelewa na Viongozi mbalimbali wa Serikali, Vyama vya Siasa na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama. Baada ya kuwasili kisiwani Pemba, Mheshimiwa Othman amefika huko Pandani, Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini, ili kumjulia hali Mzee Masoud Juma Haji, pamoja na kufanya Mazungumzo Maalum na Wazee wa Kijijini hapo. Kitengo cha Habari, Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Oktoba 25, 2023.

▶︎
MKE wa MAKAMU wa RAIS ZNZ Apata DARASA TZ BARA, ANENA HAYA...

▶︎
KOBE WA AJABU WAMSHANGAZA MAKAMU WA KWANZA WA RAISI ZANZIBAR

▶︎
Kamati ya Maridhiano Six:MWANASHERIA OTHMAN MASOUD AUCHAMBUA MUUNGANO NA KATIBA MPYA;17/8/2013;PART2

▶︎
MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR AELEZA ALIVYOKUA AKIUZA VITUMBUA PEMBA

▶︎
Al Wadood Yapongezwa Pemba

▶︎
Makamu wa kwanza wa Rais awasili kisiwani Pemba, afika kaburini kwa Maalim Seif

▶︎
Makamu wa Kwanza wa Rais atua Pemba kwa ziara ya siku nne

▶︎
Makamo wa Rais MH; OTHMAN MASOUD alivyopewa zawadi katka maulid T/JONGOWE

▶︎
Afghan most Famous Kabuli Pulao | Pakistani Karahi | Biryani recipe | Roasted chicken | Street food

▶︎
Mheshimiwa naomba mkono wako - shangwe za Mkaazi wa Mji Mkongwe kwa Makamu wa Kwanza wa Rais

▶︎
Hotuba ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Mhe. Othman katika shamra shamra za kuadhimisha siku ya sheria.

▶︎
Othman Masoud asema 2025 uchaguzi lazima uwe wa haki kwa vyovyote vile

▶︎
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman, amewasili Mkoani Ruvuma

▶︎
Mama Aweina na Mke wa makamo wa Kwanza watembelea wagonjwa na wenye mahitaji maalum

▶︎
Othman Masoud agombea nafasi ya Makamo Mwenyekiti ACT Zanzibar

▶︎
UZINDUZI WA MRADI WA UJENZI WA UWANJA WA NDEGE WA PEMBA NA UJENZI WA BARABARA.

▶︎
Micheweni - Pemba ( ZANZIBAR )

▶︎
Makamu wa Kwanza wa Rais aahidi kulishughulikia suala la mauaji ya kiholela

▶︎
Chifu Othman alivyorejea nyumbani Zanzibar, akitokea Tanzania Bara katika ziara yake ya siku sita.

▶︎
