JE MKE NA MUME WAKIGUSANA UDHU UNATENGUKA ?

📌 JIBU LA 755 | FATAWA ZA SHEIKH ABDULQADIR AL-AHDAL (Allah amhifadhi) Alhamdulillah, katika mfululizo wa maswali na majibu ya Fatawa, Sheikh Abdulqadir Al-Ahdal (Allah amhifadhi) anatoa ufafanuzi wa kielimu na kisharia kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah. 🎥 Katika video hii utapata maelezo yenye manufaa kwa kila Muislamu anayetaka kujifunza na kuelewa dini yake kwa usahihi. 👉 Usisahau ku-LIKE 👍, kushare 📲 na ku-SUBSCRIBE 🔔 ili uendelee kupata masomo na fatawa zaidi kila wiki. #Fatawa #SheikhAbdulqadirAlAhdal #ElimuYaDini #Muislamu @Alibaana550 ​