Mwalimu Aliyeingia 50 Bora Shindano la Mwalimu Bora Duniani Afunguka!

Mwalimu James Kidiga kutoka shule ya secondaiy Kiara iliyopo wilayani Musoma mkoani Mara ambaye alipata nafasi ya kuingia 50 bora ya shindano la mwalimu bora duniani amefunguka kuhusu shindani huo na jinsi alivyopata nafasi hiyo.