LIVE | SHUGHULI YA MAZIKO YA HAYATI JOHN MAGUFULI - CHATO - 26/03/2021

Leo Machi 26, 2021 aliyekuwa rais wa #Tanzania Hayati John Magufuli amezikwa kijeshi nyumbani kwao Chato majira ya saa 11.00 jioni. Haya ni matangazo kamili ya shughuli nzima ya maziko. #BurianiMagufuli #RIPMagufuli #BurianiJPM Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM:   / azamtvtz   ►INSTAGRAM:   / azamsports2   ►TWITTER:   / azamtvtz   ►FACEBOOK:   / azamtvtz   ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz