CHEKECHE | Mlango Bahari wa Hormuz unavyoitikisa dunia na kuwachanganya washirika ndani ya UN

Tunaiongelea Marekani na swahiba wake Israel ambao walianza kuishambulia Iran na kisha nayo ikajibu mapigo kwenye nchi mbalimbali za Mashariki ya Kati. Katikati ya hayo, mlango bahari wa Hormuz umekuwa ni mjadala wa aina yake, je kimkakati ni eneo muhimu kiasi gani mpaka liwe hoja kwa Mataifa ya Ghuba, Marekani, nchi za Ulaya na za Mashariki ya Kati?