Sheikh JAMAL SWALEH azungumzia kaumu LUT( Sodoma na Gomora ) akuna tafauti na izi zama zetu. part. 1

Sh. JAMAL SWALEH, azungumzia jinsi gani zama zetu izi Watu wanavyo kufuru nakufanya Ma dhambi kama zama za kaumu LUT. Ufizuli umetanda, Watu wajinsi moja kuingiliana mpaka kufikia kuowana. Na kuusia Watu tuzidi kumuomba Mwenyezi Mungu ili isije kutupata harka ya Allah kama Watu wa kaumu LUT. Usia : ndugu wesilam na wasio kua waisilamu, inatupaswa kulipigania ili isitupate rahka kama ilio wapata Watu wa Lut. Tunamuomba Allah atuongoze na atuepushe