HELLO WIKIENDI | Lugha ya ukali haimjengi mtoto
Mlezi wa Makao ya Watoto ya Maunga Orphanage, Alexander Matowo, amesema malezi bora ya mtoto yanahitaji hekima, uvumilivu na ubunifu kutoka kwa wazazi na walezi, hususan baba. Matowo amesema matumizi ya lugha ya ukali yanaweza kuathiri ukuaji wa mtoto kisaikolojia na kijamii, hivyo amewataka wazazi kutumia lugha ya upole katika malezi. Ameeleza kuwa lugha ya upole na yenye kuelekeza humsaidia mtoto kujenga kujiamini, kujitambua na kuwa huru kueleza hisia na mawazo yake. Matowo ametoa kauli hiyo katika kipindi cha Hello Wikindi kilichoangazia umuhimu wa nafasi ya baba katika malezi ya mtoto, sambamba na maadhimisho ya Siku ya Baba Duniani.

▶︎
LIVE;KONGAMANO LA WANAWAKE MMPT TAIFA LEO SIKU YA TANO 20 JUNI 2026.

▶︎
I Outsmarted Pro Car Thieves

▶︎
Citizen TV Live

▶︎
How my husband led me into darkness at very tender age

▶︎
Nilipata Hasara ya Milioni 18, Nikaanza Upya | Lilian

▶︎
VITA vya Ukraine: PUTIN asipokuwa makini vinaenda kuidhuru Urusi, Zelensky amekaza

▶︎
EXPOSED: You Won't Believe What Jimmy Wanjigi Said About GACHAGUA 😭

▶︎
Kenyan Surgeon Who Sings Patients To 'Sleep' 🩺 | Dr Joe Njagi

▶︎
Ev. Martha Isaac - Genz nebagambere

▶︎
The Burdens Men Carry: The Need For Safe Spaces

▶︎
NYAKUNDI ISABOKE -THE FINEST IN ACTING

▶︎
Jalang'o Chased and Forced To LEAVE Live On Camera In Nairobi - Kimeumana!

▶︎
Delicious Organic African Breakfast at No Cost/Youngest Wife Makes Colourful Chapati in Village Life

▶︎
TAARIFA YA HABARI - AZAM TV - 19/06/2026

▶︎
MAZITO YAZIDI BAADAYA KUTOKA RUSSIA AJUTIA

▶︎
HILI NDILO NENO LAKE LA MWISHO AMBALO ALIMWAMBIA MUME WAKE WAKIWA PAMOJA JIKONI NA GAFLA AKAANGUKA

▶︎
እንድሞት መድሐኒት ሰጡኝ#Encounter #SemayTube Demasko #Christiantube #testimony

▶︎
Can 5 IGBOS find the 2 secret YORUBAS Amongst Them?

▶︎
TENGENEZA URAFIKI NA WATU WENYE AKILI WATAKUJA KUKUSAIDIA BAADAE "PASTOR MGOGO

▶︎
