Msikilize Waziri Mkuu alivyokasirishwa baada ya fedha kupigwa Manispaa ya Ilala
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam, Jumanne Shauri pamoja na watumishi wengine tisa wa jiji hilo ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za Serikali ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 10 zilizokusanywa na hazikuwasilishwa benki kama sheria inavyoelekeza. Agizo hilo linatokana na matokeo ya ukaguzi maalum kuhusu Mapato ya Ndani katika Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa mwaka wa fedha 2019/2020 hadi 2020/2021 uliofanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Watumishi hao pia wamekabidhiwa kwa Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoa wa Dar Es Salaam kwa mahojiano juu ya tuhuma zinazowakabili. Majaliwa ametoa taarifa hiyo leo Jumatatu, Julai 11, 2022) wakati akizungumza na viongozi wa mkoa wa Dar es Salaam, Wabunge, Madiwani pamoja na watumishi wa wilaya ya Ilala katika ukumbi wa Karimjee akiwa katika ziara yake ya kikazi Dar Es Salaam. Majaliwa amesema mbali na Mkurugenzi huyo wa Halmashauri ya Jiji la Dar Es Salaam, watumishi wengine ni pamoja na Tulusubya Kamalamo (Mweka Hazina), James Bangu (Mhasibu Mapato), Abdallah Mlwale (Mtunza Fedha Mkuu) na Mohammed Khais (Mhasibu wa Masoko).

UPIGAJI WIZARA YA FEDHA, WAZIRI MKUU AWASIMAMISHA KAZI VIGOGO, ATOA MAELEKEZO KWA KAMISHNA TAKUKURU

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

#Live: BAJETI KUU YA SERIKALI IKISOMWA BUNGENI DODOMA

Elfenbeinküste – Ecuador Highlights | Gruppe E, FIFA WM 2026 | sportstudio

Niederlande – Japan Highlights | Gruppe F, FIFA WM 2026 | sportstudio

MCHINA AMEFURAHI KUKAMATWA WALIOMUUA NDUGU YAKE, NDIO WALE WALIDANGANYA MAJINA WAFANYAKAZI WAFUNGUKA

#Live: RAIS SAMIA AKISHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA BENKI KUU YA TANZANIA, JNICC DAR ES SALAAM

DAWA YA RUTO!! Listen to Gachagua Powerful remarks today in Bungoma Church destroying Kasongo badly!

Ruto heart attack as Sifuna and his troop holds Mega Rally in Thika with 'Sisi Ndio Sifuna!'

LIVE: Kenya's Ruto, Finland's Stubb hold press conference in Helsinki

MSIKILIZE WAZIRI MKUU kuhusu fedha za miradi

WAZIRI MKUU AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI WA JIJI LA ARUSHA

Sortie de Bouba Ndour sur Sonko, Madiambal et le cas El Malick, arrêt Diomaye soriwoul: Cheikh Bara

Wananchi Vijibweni waibua kero za barabara, shule na migogoro ya ardhi mbele ya Chalamila

NO JOKES! President Ruto roars in Kiserian, Kajiado, Lectures the opposition badly

Anchor Media ''ሀዘኑ በእኔም ቤተሰብ ደርሷል። ደማቸው እንዲሁ ፈሶ አይቀርም'' ፕ/ር ተሾመ አበበ

MSIGWA: NILIVYOZIFANYA GWANDA ZA CHADEMA, NGUO ZA CCM ITABAKI ...

MAGATHITI MONDAY 15TH JUNE 2026 | GATONYE WA MBUGUA | KAMEME FM TODAY

Defence secretary John Healey resigns over spending plan

