TCCIA YAELEZEA FURSA ZA MASOKO DRC CONGO “UNION MEAT GROUP”
Dar es Salaam, Septemba 2024 – Makamu wa Rais wa Chemba ya Biashara, Viwanda, na Kilimo Tanzania (TCCIA) anayeshughulikia Viwanda, Bw. Abdul Mwilima, pamoja na Afisa kutoka Idara ya Biashara TCCIA, Bi. Fatuma Hamis, watoa uzoefu wa kibiashara na masoko ya Afrika Mashariki kwenye bidhaa za nyama, walipofanya ziara katika kiwanda kipya cha “Union Meat Group” ili kukagua miundombinu ya uzalishaji wa nyama kiwandani hapo. Wakizungumza na Meneja Masoko wa Union Meat Group, Bwana Maron Kogi Kwa niaba ya TCCIA, Bw. Mwilima alitoa elimu ya masoko yanayoweza kupatikana ushoroba wa Magharibi hasa eneo la kusini mwa Kivu Jimbo la Bukavu na Ziara ya kibiashara ya TCCIA katika maeneo hayo. #AfrikakwaAfrika #history #afcfta #kaziiendelee🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿 "Private sector engine of growth" #kaziiendelee🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿 @ikulu_mawasiliano@ikulu_habari@uwekezajiviwandabiashara @tantradetz@tnbc_tz@tpsf_tanzania @sido_tanzania @tratanzania@eastafricatrias@wasafitv @tbc_online@channeltentanzania@tzwomenchamber_twcc @tcciambeya@tcciamkuranga@tcciamanyara @tccia_dsm@tcciakahama@tcciamwanza_official @tcciakigoma@tcciadodoma@tcciabusinesstv @tcciaarusha@zanzibar_chamber@tantrade_updates @tantrade_updates@zanzibar_chamber@afcftasecretariat @eastafricatrias@trademarkafrica@tanzaniawomenceosroundtable @tccia_coast_region

Unataka kuuza (export) bidhaa nje ya nchi? TCCIA (Chamber of Commerce) ina habari hii njema kwako

FURSA ZA BIASHARA NCHINI CONGO NI HIZI

NILIMUOMBA KAKA ANILIPIE KODI YA MIEZI MITATU NIBAKI DAR | NIMETOKA KIJIJINI SANA | MAJID NSEKELA

TCCIA YATEMBELEA KIWANDA CHA NYAMA CHA “UNION MEAT GROUP”

HIFADHI YA MSITU WA VIKINDU || VIKINDU FOREST RESERVE - PWANI TANZANIA

DRAMA In Parliament As Ndindi Nyoro Badly Clashes With Kimani Ichung'wah Over National Debt!

KWANINI VIJANA WENGI WANAKIMBILIA SOUTH AFRICA ?

Gachagua was impeached and was not given a fair hearing - David Maraga

WAR IN PARLIAMENT!!! Listen To What Millie Odhi Told Ichungwa After He Called Sifuna Idiot Senator!

BREAKING: Immediate GSU changes announced in Kenya

RAIS SAMIA ATOA TUZO KWA MATI SUPER BRAND LIMITED KAMA WAZALISHAJI BORA.

BANDA BORA LA KUKU 1500 KEREGE BAGAMOYO

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 11.06.2026 | Asubuhi | Swahili Habari leo | Podcast

BREAKING: Trump rocked as Epstein scandal roars back, 'chaos' engulfs WH

KONGAMANO LA FURSA ZA BIASHARA KUSINI MWA DRC LAVUTIA WENGI

Local Cages - Dar es salaam || Ufugaji wa kuku 2000 Bunju. UFUGA KISASA KWENYE ENEO DOGO

HISTORIC COMEBACK BY THE GREATEST JAPANESE GENERATION OF ALL TIME AGAINST ANCELOTTI’S BRAZIL

Amazing Modern Sausage Production Factory, Fastest Pork Meat Cutting Processing Technology

Nobody Breaks Celebrities Like Rowan Atkinson

