LIVE// ZIARA YA KICHUNGAJI YA ASKOFU RWEYONGEZA - NYAKATUNTU - JIMBO KATOLIKI KAYANGA

Karibu tushiriki kwa pamoja Adhimisho la Misa Takatifu ya Sherehe ya Kupaa kwa Bwana Pasaka katika Parokia ya YOHANE PAULO WA II-Nyakatuntu Jimbo Katoliki Kayanga Misa Takatifu inaadhimishwa Mhashamu Almachius Vincent Rweyongeza, Askofu wa Jimbo Katoliki Kayanga. Mpenzi Mtazamaji na Mfuatiliaji wa Kayanga Catholic Online tv, Usisahau Kusubscribe, Kulike Kucomment na Kushare Taarifa zetu. Pia unaweza Kutufuatilia kwenye Mitandao yetu ya Kijamii kama vile Whatsapp, Instagram na Facebook.