MCHUNGAJI ATAPELIWA PESA KWENYE UPATU wa LBL - DAR ES SALAAM - AOMBA MSAADA..
MCHUNGAJI wa EAGT ATAPELIWA PESA KWENYE UPATU wa LBL - DAR ES SALAAM - AOMBA MSAADA.. Jeshi la Polisi Februari 2025 limewakamata jumla ya watuhumiwa ishirini na sita (26) wakiwemo Najim Issa Houmud Mkurugenzi miaka 34 mkazi wa Kigamboni, Hatibu Kudura miaka 25 mkazi wa Kinondoni, Fatum Hamisi miaka 26 mkazi Kigamboni na Athumani Sadik miaka 29 Mkazi wa Mabibo kwa tuhuma za kujihusisha na biashara haramu ya upatu mtandaoni bila kuwa na kibali kutoka Benki Kuu Tanzania, Watuhumiwa hao walikamatwa katika maeneo ya Mbagala, Gongolamboto, Tabata, Mbezi Magufuli, Ubungo Riverside na Mabibo. Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam kwa kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania lilifanya uchunguzi wa kampuni LEO BURNETT LONDON (LBL) inayo jihusisha na biashara ya upatu mtandaoni ambapo ilibaini kuwa kampuni hiyo haina uongozi maalum, vilevile ufanyaji kazi wake ili uweze kujiunga ni lazima utoe kiasi cha pesa kuanzia Tsh, 50000/= na kuendelea ili uwe mwanachama, pia huchangisha pesa kwa kuwadanganya wananchi kuwa watapata faida kubwa kwa muda mfupi bila ya wanachama kuhusishwa kwa namna yoyote katika shughuli za uendeshaji wa kampuni hiyo. Mara upelelezi utakapokamilika watuhumiwa wote watafikishwa Mahakamani kujibu tuhuma zinazowakabili. ============================================================ ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

WADADA HAWA NI NOOMA WADAIWA KUFANYA UTAPELI WA KUTISHA, WAKOMBA MAMILIONI YA WALIMU

HATIMAYE MWILI WA ALBERT MANGWEA WAWASILI DAR ES SALAAM

KAMPUNI YA KUWEKEZA PESA LBL SIO MATAPELI WANACHUO WAFUNGUKA MAZITO JUU YA LBL

WATUHUMIWA WANNE WA MAUAJI YA MCHINA WAMEKAMATWA, WALINUNUA NG'OMBE BAADA YA KUUA

WACHINA WANNE MBARONI KWA TUHUMA ZA UTEKAJI

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

IRAN YAVURUMUSHA MAKOMBORA -YASHAMBULIA VITUO VYA MAREKANI KUWAIT NA BAHRAIN - HOFU YATANDA...

MENEJA LBL AKAMATWA MBEYA KWA TUHUMA ZA KUENDESHA BIASHARA YA UPATU MTANDAONI, BOT WANENA

FAST PASSAGE OF KILIMANJARO BOATS AND ZAN FAST FERRIES, CITIZENS MAKE THEIR VOICES OUT

WATOTO WALIOIBWA NA 'HOUSE GIRL' WAKUTWA KWA MGANGA

🔴#Live: SAKATA la LBL - UTAPELI MITANDAONI na WAZEE wa TUMA kwa NAMBA HII - TCRA WATANGAZA KIYAMA...

SHAJARA || Uwekezaji katika soko la Hisa

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?

Jobless Millionaires of Kenya || Joakim Simiyu

KAMANDA MULIRO ATAJA VIGOGO WALIOMALIZA MWAKA VIBAYA

SAKATA LA HALIMA MDEE NA WENZAKE LAFIKA PABAYA, MAPYA YABAINIKA | KUJIUNGA CCM, CHADEMA WATIA NENO

MSIKILIZE HAPA MBUNGE WA TANDAHIMBA KATANI A. KATANI AKITETEA UHAMIAJI MTWARA

Utapeli Kalynda: Hela ya mtaji imeliwa, nimeingiza walimu, majirani, naiweka wapi sura yangu mimi?

