Tazama Biteko alivyombananisha Mkurugenzi wa Tanesco Tabora, atoa siku 7...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Tanzania, Dk Doto Biteko Julai 7, alikuwa Sikonge mkoani Tabora kukagua mradi wa umeme wa Kilovoti 132 ambapo akiwa kwenye kituo hicho akawabana watumishi wa Tanesco, akiwemo mkurugenzi wa shirika hilo hapa nchini kuhusiana na kusuasua kuanza utekelezaji wa vituo vya kupooza umeme katika maeneo mbalimbali nchini. Hata hivyo, Dk Biteko ameonekana kukerwa na mmoja wa watumishi wa shirika hilo aliyeoonekana kumdanganya kwenye maelezo yake, jambo lililozua sintofahamu kwenye mkutano na wananchi. Baada ya hilo kutokea akatoa siku saba kwa Tanesco wawe wameleta mpango wa kujenga vituo vya kupooza umeme nje ya Dar es salaam tofauti na hali ilivyo sasa.

▶︎
🔴#Live: NAIBU WAZIRI MKUU BITEKO AUWASHA MOTO TANESCO - "WATANZANIA WANATAKA UMEME"...

▶︎
"Mnawezaje kuwafundishia wanafunzi vitabu vyenye makosa?" - Doto Biteko

▶︎
MTUMISHI WA TANESCO SONGWE ANYONGWA HADI KUFA / MWILI WATUPWA NYUMBANI KWAKE

▶︎
DC KATWALE AANZISHA SAFARI YA MANISPAA TABORA KUWA JIJI, AUNDA KAMATI MAALUMU NA KUIPA MWENZI MMOJA

▶︎
DKT BITEKO ANG'AKA MTWARA//TUTAIANGALIA UPYA MENEJIMENTI YA TANESCO

▶︎
MAGUFULI Awaweka MTU KATI Waziri BITEKO na PACHA WAKE - "HAMUWEZI WOTE KUWA WABUNGE"

▶︎
UMEME || Mkurugenzi wa TANESCO azungumzia bei mpya ya kufungiwa umeme

▶︎
Je, unajiandaa vipi na kustaafu?

▶︎
KIMEUMANA TANESCO! WALIMCHUKULIA POA NAIBU WAZIRI MKUU BITEKO - AANZA TIMUATIMUA...

▶︎
“T’i fusnin plumbin kokës” Havari për vrasjen e policit në Maliq: I zuri si pula, efektivët...

▶︎
TANESCO KUSHTAKIWA KWA KUKATA UMEME, HAKI ZA BINADAMU WAELEZA "NI UVUNJIFU WA HAKI ZA BINADAMU"

▶︎
'Wakulima wanalalamika mbegu walizopewa hazikuota'-Mbunge Doto Biteko

▶︎
🔴LIVE: NAIBU WAZIRI MKUU DOTO BITEKO ANAZUNGUMZA MUDA HUU

▶︎
CHACHA ARIPOTI KAZINI TABORA, AJITAMBULISHA KAMA MCHAPAKAZI- AKUMBUSHIA KESI YA MAUJI KALIUAA

▶︎
How Kenya Can Lower Fuel Prices | Ndindi Nyoro

▶︎
NAIBU WAZIRI MWANA FA AFUNGUKA ISHU YA BONDIA KUPOTEZA MAISHA ULINGONI KWA TSH ELFU 60

▶︎
DKT BITEKO AMUITA MENEJA MKUTANONI NA KUMPA MAAGIZO, MCHIMBAJI WA RUBY SENDEU ATOA BIL. 3 SERIKALINI

▶︎
WANANCHI ZAIDI YA 1000 WANUFAIKA NA UMEME WA TANESCO MKOA WA MANYARA...

▶︎
🔴#Live: NAIBU WAZIRI MKUU DOTO BITEKO ATUA KIGOMA - AFUNGUA MRADI MKUBWA wa UMEME MTO MALAGARASI...

▶︎
