KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

Msimamizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe Bi: Happiness J. Msanga akitoa maelekezo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa leo Tarehe 26 Septemba 2024