Hakuwaza Kama PESA Zake Zingemuingiza Kwenye MATATIZO

BOSS AYUBU, mfanyabiashara mkubwa ambaye anajikuta anaingia kwenye MTIHANI MZITO wa maisha yake huku sababu kubwa ikiwa ni PESA ZAKE mwenyewe. Aliyewahi kusema HELA NI TIBA YA KILA KITU hakutafakari kwa kina na kutazama vipengele vingine muhimu ambavyo vinaweza kuyatibua maisha ya mtu na pesa zisisimame kama sehemu ya suluhisho. Katika story hii ya kusisimua iliyosimuliwa na storyteller wako Izkonka, utajifunza jambo hilo kwa ukubwa sana. Karibu!!!