VIJANA NI NGUZO || N.G MBWILO

Vijana ni Nguzo, ni moja kati ya nyimbo zilozopo kwenye Albamu yetu inayoitwa "Neema Yako Inatosha". Wimbo huu umetungwa na Mwl Nickorous G. Mbwilo, ambaye ni Moja kati ya walimu wa Kwaya yetu ya Maranatha. Ni wimbo maalumu kwaajiri ya Maadili kwa vijana, kuwakumbusha yanaposa kufanya na namna ya kuishikatika maisha yao ili wawe chachu ya maisha kwa vijana wengine