WAZIRI MAKONDA WACHAWI NI WENGI MENGI KWENYE HII NCHI WANATABIA YA KUNENA VITU VISITOKEE
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amekuwa mgeni rasmi katika sherehe za kuadhimisha miaka 25 ya ushirikiano kati ya China na Urusi zilizofanyika Jijini Dar es Salaam. Sherehe hizo zilihusisha maonesho ya filamu ya pamoja ya China na Urusi ijulikanayo kama Red Silk, ikiwa ni sehemu ya kuenzi urafiki na ushirikiano wa muda mrefu kati ya mataifa hayo mawili. Akizungumza katika hafla hiyo, Makonda amepongeza ushirikiano wa China na Urusi, akisema Tanzania itaendelea kuimarisha mahusiano na nchi hizo katika sekta mbalimbali ikiwemo habari, utamaduni, sanaa na michezo. Hafla hiyo iliandaliwa na Ubalozi wa China na Ubalozi wa Urusi nchini Tanzania, ikiwakutanisha viongozi wa serikali, wadau wa sanaa na maafisa wa sekta ya filamu kwa lengo la kuendeleza urafiki na ushirikiano kati ya mataifa hayo na Tanzania.

MASWALI MAGUMU ALIYOULIZWA WAZIRI MKUU MWIGULU BUNGENI - AYAJIBU kwa HOJA...

🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JUNI 25, 2026 - WASHIRIKI MAONESHO YA 77 WAHAKIKISHIWA USALAMA

POMBE INAVYOUA FIGO, UKIICHANGANYA NA MAJI INAPUNGUZA ATHARI? DAKTARI AELEZA

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story

ZUCHU ATAMBA NA MAFANIKIO ALIYOPATA KWENYE LEBO YA WCB

CCM SONGWE Yawajibu CHADEMA Wamvaa HECHE na ISSAKWISA Yawashika PABAYA

Ona majigambo ya Brother K, akifika Bar kakutana na Mpoki sasa

INTENSE TENSION: SPEAKER ZUNGU BRUTALLY EXPOSES ADO SHAIBU as he LASHES OUT AT AMBASSADOR KHAMISI...

SHEIKH MCHAWI ASIMULIA KISA CHA MBUZI KUSOMEWA DUA MPAKA KUFA

Wabunge wanaamini WATANZANIA hawajui dunia inaendeshwa vipi BODA BODA SIO KAZI BALI NI KUGANGA NJAA

ISSA AZAM amchana DIAMOND, amsifia ALIKIBA, HARMONIZE nimemsaidia sana, TULIPIGWA kwenye mpira wote

WATCH BABA LEVO LAUNCH MKOMBOZI FURNITURE IN DODOMA TODAY

ALLY KAMWE AMCHEKA AHMED ALLY "Wanata kombe lipi VICHEKESHO MTUPU! SASA SISI TUPO NA AZAM NI WETU

DIAMOND atoa siri NZITO MASTERCLASS ya ZUCHU, KUSAINI WASANII WCB, AWAFUNDA WASANII WAPYA

GB 64 AMJIBU ALLY KAMWE KUUNGANA NA AZAM FC DHIDI YA SIMBA

