SHULE YA ATLAS INAVYO WANOA WANAFUNZI WAKE KUFAHAMU KIINGEREZA

Shule ya Atlas iliyopo Madale Jijini Dar es salaam imefanya mashindano kwa wanafunzi wake kutambua na kuyataja maneno ya kiingereza ikiwa ni hatua ya shule hiyo kuwawezesha wanafunzi wake kufahamu vizuri lugha hiyo. mwalimu wa wa shule hiyo Rainhard Bonke ameelezea hatua hiyo kuwa ni kwa ajili ya kuwajengea uwezo wa kujiamini wanafunzi hasa katika kuzungumza lugha ya kiingereza