ASKARI WA WANYAMA PORI WATAKIWA KUWA MSTARI WA MBELE KATIKA KULINDA WANYAMA
MBUNGE wa Viti Maalum (CCM), Jacqueline Msongozi amewataka wahitimu wa mafunzo ya uhifadhi wa maliasili kwa jami kuwa mstari wa mbele katika kupambana na majangili pamoja na kulinda maliasili za Taifa licha ya changamoto wanazokutana nazo pindi wanapotekeleza majuku yao. Wito huo ameutoa wakati wa kufunga mafunzo ya VGS katika Chuo cha mafunzo ya uhifadhi wa maliasili kwa jamii Likuyusekamaganga kilichopo Wilaya ya NAMTUMBO mkoani RUVUMA

▶︎
TAZAMA MAKALA FUPI KUHUSU CHUO CHA WANYAMAPORI,PASIANSI MWANZA

▶︎
BALAA LA JESHI USU MBELE YA WAZIRI KIGWANGALA,ATOA SIKU 14 "SASA MWISHO"

▶︎
CHUO CHA CBCTC NAMTUMBO RUVUMA KUANZA KUTOA KOZI YA WAONGOZA WATALII

▶︎
VGS 150 WAHITIMU MAFUNZO YA WANYAMAPORI, KUONGEZA UFANISI UTATUZI WA MIGOGORO YA KIUHIFADHI

▶︎
MAMBO YA CHUO CHA MALIASILI NAMTUMBO RUVUMA

▶︎
ASKARI WANYAMAPORI VIJIJINI WALIVYOFUZU MAFUNZO KWA VITENDO CHUO CHA CBCTC NAMTUMBO RUVUMA

▶︎
VIJANA ZAIDI YÀ MIAMOJA WAHITIMU MAFUNZO YA ULINZI WA WANYAMA PORI KTK CHUO CHA MALIASILI MWANZA.

▶︎
Askari wanyama pori aelezea alivyopambana na wahalifu Sikonge.

▶︎
ASKARI WA UHIFADHI WAKO TAYARI KWA KAZI/MAFUNZO YAFUNGWA RASMI MLELE.

▶︎
Askari wa wanyamapori 17 watimuliwa kazi kwa ujangili.

▶︎
MGUU UPANDE! SHUHUDIA GWARIDE LA ASKARI WA WANYAMAPORI WAKIHITIMU MAFUNZO "Jamani vumbi mnaliona"

▶︎
REGROW KUTOA VITENGEA KAZI KWA ASKARI WANYAMAPORI WA VIJIJINI (VGS)

▶︎
Nobody Breaks Celebrities Like Rowan Atkinson

▶︎
SHUHUDIA MAMA SAMIA AKIKAGUA GWARIDE LA ASKARI WA WANYAMAPORI

▶︎
Sifa Kuu Za Muongoza Watalii(Skills of Tour guide)

▶︎
CHUO CHA MALIASILI NAMTUMBO RUVUMA

▶︎
CBCTC,CHUO CHA MALIASILI KINACHOKABILIWA NA CHANGAMOTO LUKUKI

▶︎
Askari Wapya 231 wa Jeshi la Uhifadhi wapewa Ajira Wote

▶︎
WAKILI MADELEKA AMSHUKIA WAZIRI ATOE KIFUNGU KILICHOMPA MAMLAKA KUMUAMRISHA IGP

▶︎
