“WAHAMIAJI HARAMU” WAKUTWA KWENYE GARI LA KUSAFIRISHA GESI
WATU watano raia wa Ethiopia wamekamatwa katika eneo la Tarakea wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro katika mpaka wa Kenya na Tanzania kwa tuhuma za kuingia nchini bila ya kufuata taratibu wakiwa wamefichwa kwenye gari la kubeba gesi lenye namba a usajili ZG 8350 la nchini Zambia . Tukio hili ni la pili katka kipindi cha wiki chache baada ya “Wahamiaji haramu” saba kutoka Ethiopia kukamatwa wakisafirishwa kwa gari la kifahari linalotajwa kumilikiwa na mmoja wa Wabunge ambapo dereva wa gari hilo alitoroka baada ya kugundua mtego uliokuwa umewekwa. Ofisa Uhamiaji Mkoa wa Kilimanjaro, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhamiaji, Fakih Nyakunga amesema wahamiaji hao walikamatwa wakiingia nchini kupitia Kituo cha Forodha cha Tarakea, wakiwa wamejificha chini ya lori la kusafirisha gesi, likitokea Kenya kuja nchini Tanzania. Naykunga amesem maofisa wake wa kituo hicho cha forodha walifanya kazi ya ziada na kwa umakini kuchunguza kila gari linaloingia nchini na katika ukaguzi wao ndio wakabaini uwepo wa watu waliojificha chini ya lori hilo. Hivyo walipoamriwa kutoka, ndipo walibainika ni raia wa Ethiopia na hawakuwa na nyaraka yoyote.

MANZI MDUDU WA ARUSHA AWACHANA WADADA WA DAR "SURA HATA MBUZI ANAYO, MBAYA TU"

WAHAMIAJI HARAMU 44 RAIA WA ETHIOPIA WAKAMATWA MKOANI MANYARA

GARI la KUSAFIRISHA MAITI LAKAMATWA Likiwa LINASAFIRISHA MIRUNGI, KAMANDA Aeleza A-Z...

AJALI ILIVYOWAUMBUA WAHAMIAJI WALIOFICHWA, DC MSANDO AELEZEA TUKIO ZIMA

WAHAMIAJI HARAMU 62 KUTOKA ETHIOPIA WAKAMATWA WAKIWA WAMEFICHWA KWENYE GARI katikati YA MABOMBA

WAHAMIAJI HARAMU ZAIDI ya 800 WANASWA KAGERA - "VIONGOZI wa SIASA WAONYWA''....

GARI LAZAMA BAHARINI COCO BEACH, DEREVA ANUSURIKA KIFO, VIJANA WATUMIA SAA 4 KULITOA GARI MAJINI

SIMULIZI MILIONI 70 ZILIVYOIBWA KWENYE GARI ARUSHA - KIOO KILIVUNJWA na KUONEKANA KWENYE CCTV CAMERA

VIDEO: V8 ILIYOKAMATWA NA BENDERA YA CCM IKIWA NA WAHAMIAJI HARAMU 20, UHAMIAJI WAFUNGUKA

Hii kali:Wakamatwa Watu 65 ndani ya Lori la Mafuta Mlele/Wahamiaji Haramu.

"WAHAMIAJI HARAMU ZAIDI YA 30 WAKAMATWA MKOANI TANGA,WAPO WAETHIOPIA NA WASOMALI"

KIJANA ALIYEBUNI HELKOPTA SONGWE APEWA MIL 99 NA SERIKALI, AFUNGUKA ALIVYOPATA WAZO...

Amazing Process of Making Toilet Bowls in Pakistan | Toilet Bowl Manufacturing Process

VITU 3 VITAKAVYOKUACHA MDOMO WAZI KIGALI RWANDA KAMA UMEZOEA KUISHI DAR ES SALAAM, ITAZAME VIZURI

GARI LA KIFAHARI PALM VILLAGE, LIKO MOJA TU EAST AFRICA, LINAUZWA MILIONI 400+, MMLIKI AFUNGUKA

🔥 Caterpillar Front Differential Exploded Under Heavy Load – Complete $10,000 Rebuild

MUNGU WANGU! WAHAMIAJI HARAMU WAKUTWA CHINI ya LORI LA MAFUTA - WAMETOKA ETHIOPIA WAKAPITIA KENYA...

WAHAMIAJI HARAMU 61 WALIVYONASWA Kwenye LORI WAMEFICHWA na MABOKSI, KAMANDA Aeleza..

LORI LILILOSAFIRISHA WAHAMIAJI HARAMU 62 LATAIFISHWA IRINGA.

