SCHOOL ANTHEM (WIMBO WA SHULE)

Shule ya St. Francis de Sales Junior Seminary iliyopo Kihonda, Morogoro, Tanzania, inawakaribisha kutazama na kusikiliza wimbo huu wa shule ulioimbwa na vijana wetu waseminari wakiielezea seminari yetu pamoja na malengo yao ya kuwa seminarini. Tunawapokea vijana wote wakiume waliobatizwa na waliohitimu darasa la saba ili kujiunga na seminari yetu pendwa kwa masomo ya kidato cha kwanza hadi cha nne ili wapate elimu na malezi bora huku wakiikuza miito yao ndani ya kanisa. Kujiunga na seminari wasiliana nasi kwa namba: +255 620 242 601 au +255 766 733 505 Karibuni sana St. Francis de Sales Junior Seminary.