Achillian ft Mfalme Jeffrey LUCIFER S4(official music audio)

LUCIFER 4 Umenitosha kwenye dharuba ya ubandia Umenipeleka nchi kavu kwenye kutulia Ujana maji ya moto, umefanya ya baridi Umenitowa getho mimi mkahidi Thank you God BILA MUNGU SITOBOI yes BILA MUNGU SITOBOI yeh eh BILA WEWE HATUTOBOWI mmh djeah BILA MUNGU SITOBOI mmh Mbele ya yote naomba Mungu wangu Yeye njo anajua maisha yangu Nikiwa nae mimi sipotei Nini itatuma sitoboi? Acha miniseme amina Kwa yote ambayo anayo nitendea Acha niseme asante Bwana kwa yote ambayo unayo nitendea Wengine aseme niroge ili mbele ni songe Mini mtoto wa yesu pamoja na Mungu mimi ndatoboa Bya shetani habiruhusu alie niumba naimani ataniokoa Eh bila wewe siweziweza kila wakipima bado natereza Pamoja na MUNGU naisi ntaangaza Mambo ya devil, mambo ya ovyo Mbele ya Mungu nasema sitaki Nina malengo, nina mpango Nifungue mlango ya yangu riski Wewaza nimekua star inaomba ulozi Ma bangi mitungi na mwisho wana loose Machipukizi wanaleta mapozi Ugangi ugangi na hawana kazi Sasa Acha niwa diss nikiwa na Mungu na sina wasi Yes jesus is my protect Rap ya kivu nai project Ndomana wananema sema wana pinga pinga wana chongachonga Ila bado Mungu wangu iko Wana chimba shimo wanaanguka wenyewe Minawaambia ambia ni byabobyabo Palipo shimo niepushe nivuke Nikitaka teleza nisaidie nisianguke WENJO MUNGU, MUWEZA YOTE TUMAINI LETU, TATUWA SHIDA ZETU MWEZA YOTE, TUMAINI LETU TWAKUPA SHIDA ZETU alléluia Ah Kwa mara nyingine nakuja mbele zako baba Ni mimi wala sio mwingine Mwanao naitaji tiba Kwa mara nyingine nimekosa nisamee Baba Mwanao sijakamilika Jehova jire, jehova shama, jehova nisi,jehova rafa Pumzi bure leo nahema sitakuasi hata nikifa Asie tumika asile, weulisema Tupe mkate nasi, okoa taifa Ajira ni tele, makazi noma❌ Wanao tunaangamia kwa kukosa maarifa Shiloh! Jehovah! Eloïm! Nkolo! Tolová ópesa biso bakonzi ya bien Sapilo never mais usine eza na mboka Aba na aba ujaza kibaba Bilizani kipaji pekee kinatosha, kitanilisha, Familia nitaivusha Kwetu elimu haijatosha, inatusha🥶 Connaaissance njo maisha Tunaishi na aina za watu wenye roho zao tuh za kutu Watakuteta, watakusifu siku tuh ukivua viatu Atuna kitu na hatukose kitu Mana tunajua akuna mtu bila watu Eh Mungu teta na wanao teta nami baba roho zao chafu Low! Ulisema ombeni mtapewa mwanao nimeomba bila kutereka Leo akuna kazi bila dawa Nina mwanga wa jua ila sjamulika Kama binadamu tumeombwa sawa Hatuitaji machawa tushushie baraka Weye bdie Mungu unae gawa Usipo nipa baraka nipe hata fizi nitaridhika Hiiiiiii ni bya kiroho hauwezi elewa Iyi tour mbaka balombe msamaha Vesi zangu mipanga zinawakata tamaa Iyi tour atasadiki thomas Akuna bya mafoyi si mtaona roman WENJO MUNGU, MUWEZA YOTE TUMAINI LETU, TATUWA SHIDA ZETU MWEZA YOTE, TUMAINI LETU TWAKUPA SHIDA ZETU Usijaribu izi fow nyumbani Iyi inaitwa weka mbali na watoto MWALIMU JEFFREY na MR CHAMPION ni bya kiroho hauwezi elewa weee