UVCCM KAGERA WATAKA JESHI la POLISI KUTAJA WAHUSIKA wa MAUAJI ya MTOTO ALBINO - FARIS AFUNGUKA...
UVCCM KAGERA WATAKA JESHI la POLISI KUTAJA WAHUSIKA wa MAUAJI ya MTOTO ALBINO - FARIS AFUNGUKA... Mwenyekiti Wa Umoja wa Vijana Wa Chama Cha Mapinduzi Uvccm Mkoa wa Kagera Bw Faris Buruani Amewataka Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera Kutaja Wahusika wa Mauaji ya Mtoto Albino Wilayani Muleba Mkoani Kagera. Akizungumza Mara Baada Ya Kufika Katika Eneo La Tukio Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Kagera Amesema Kuwa Jeshi La Polisi Mkoa wa Kagera Wanatakiwa Kutoa Taarifa Zaidi Juu Ya Waliohusika Na Mauaji Ya Mtoto Asimwe Ambaye Amepumuzishwa Jana Katika Nyuma Yake Ya Milele Baada Ya Kupata Mwila Wake Umetekelezwa Njiani. "Kwa Mda Mrefu Kidogo Tumekuwa Tumeshasahau Matukio Ya Kupoteza Watoto Wenye Ulemavu Wa Ngozi Kuanzia Sasa Tunalitaka Jeshi La Polisi Kutoa Taarifa Kwa Mda Huu Kujua ni nani Aliyehusika Katika Tukio Hili Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Kagera Comred Faris Buruani " Sisi Umoja Wa Vijana Mkoa Wa Kagera Tuna Masikitiko Makubwa na Kitendo Hiki kilichotokea,Sisi Umoja wa VijanaTunalaani Kitendo Hiki Kilichotokea Cha Mauaji ya Mtoto Mwenye Ualbino ila Tunaomba Wananchi Wa Kijiji Cha Buramula Kuendelea Kuwa na Amani Katika Kipindi Hili Kigumu. Jishindie Zawadi na Global TV Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV 👉🔥👉https://forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7 ============================================================ ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

WATUHUMIWA 7 WALIOMUUA MTOTO ALBINO PAROKO MSAIDIZI,BABA MZAZI WAKAMATWA NA VIUNGO,POLISI WAFAFANUA

MWANZA KUNA JINAMIZI? MAUAJI MENGINE TENA, KIJANA AUAWA, MWILI WAOKOTWA ZIWANI, MAMA ASIMULIA...

ZUNGU ASIKITISHWA NA KIFO CHA ASIMWE| WANADANGANYWA VIUNGO VYA ALBINO VINALETA MVUTO| WANASIASA.

WAZIRI MKUU ATOA KAULI YA SERIKALI MAUAJI YA ALBINO, "TUNACHUKUA HATUA KALI"

MAMA ASIMULIA MTOTO WAKE MWENYE UALBINO ALIVYOIBWA MULEBA na WATU WASIOJULIKANA......

Poroko msaidizi, baba mzazi na wengine wakamatwa wakituhumiwa mauaji ya Asimwe

MAZIKO ya MTOTO ALBINO ALIYEMUHUZUNISHA HADI RAIS SAMIA - DC SIMA AELEZA - ''MWILI UMEHARIBIWA''...

MAUAJI YA ASIMWE: WATUHUMIWA 9 WASHIKILIWA AKIWEMO BABA YAKE MZAZI

MAAJABU: KILICHOTOKEA KWENYE NDEGE ILIYOMBEBA RAIS SAMIA AKIWASILI KATAVI, TAZAMA MPAKA MWISHO

🔴LiVE:MWENYE NYUMBA AZIMIA BAADA ya MOTO KUTEKETEZA NYUMBA/ANUSURIKA KIFO kwa KUSHAMBULIWA na FISI..

Filamu inayoangazia masaibu ya albino

MTOTO WA MIAKA 6 AMLILIA ALBINO ALEEUAWA KIKATILI OMBA KUONANA NA RAIS SAMIA "ACHENI KUUA ALBINO"

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

TAHARUKI YAIBUKA / MTOTO AUAWA, SEHEMU ZA SIRI ZAKATWA.

HAJI MANARA AGUSWA NA MAUAJI YA MTOTO ALBINO ATOA USHAURI MZITO KWA SERIKALI

SHUHUDIA BOTI YA MWENDOKASI KWA MARA YA KWANZA YAFIKA KISIWA CHA GOZBA, WAKAZI WAMWAGA MACHOZI

EXCLUSIVE| BABA WA KIJANA MAJALIWA SHUJAA WA AJALI YA NDEGE |SIKUPENDA AWE MVUVI

🔴#Live: BABA na PAROKO WADAKWA MAUAJI ya ALBINO /KILIO cha SUKARI KILA KONA/MADADAPOA WALIA na SAMIA

TAARIFA YA KUSIKITISHA KUTOKA BUKOBA/MWANAMKE HUYU AVAMIWA USIKU NA KUIBIWA MTOTO WAKE ALBINO

