UFUNGUZI WA SOKO - CHUINI HII NDIYO KAULI YA RAIS DKT, MWINYI ZANZIBAR 2025

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amelifungua soko la Kisasa la Chuini na Kituo cha Mabasi na kuagiza Kampuni zinazokabidhiwa Masoko kuyaendesha kuwa na Uwezo wa kuimarisha Usafi wa Mazingira. Rais Dkt, Mwinyi ameyasema hayo alipolifungua soko la Chuini ,Wilaya ya Magharibi B, Mkoa wa Mjini Magharibi. Dkt, Mwinyi amepongeza Kazi nzuri iliofanywa na Mkandarasi na Wasimamizi wa Ujenzi wa soko hilo la Kisasa. Rais Dkt Mwinyi ametoa Maagizo saba kwa Wasimamizi na Mamlaka zinazosimamia Masoko ili kuhakikisha Masoko yanabaki katika Haiba na Mazingira bora. Miongoni mwa Maagizo hayo ni pamoja na kuimarishwa kwa Usafi ndani na nje ya Masoko. Wafanyabishara kutofanya biashara nje ya soko na pembezoni mwa Barabara. Kutozwa kodi ndogo kwa Wafanyabishara ili waweze kuzimudu. Ameagiza kuwepo na Utaratibu wa kuyafanyia Ukarabati ili yabaki katika hali nzuri wakati wote pamoja na Wafanyabiashara kuingizwa kwa haraka ili biashara iweze kuchangamka katika muda mfupi. Aidha ameagiza Kituo cha gari za Abiria kiliopo katika eneo hilo kuanza kazi mara moja kutoa fursa kwa Wananchi kuzifikia huduma za soko kwa Urahisi pamoja na barabara inayozunguka soko la Chuini kutengenezwa kwa kiwango cha lami katika muda mfupi ujao. Rais Dkt, Mwnyi amezisisitiza Taasisi za kifedha zinazotoa Mikopo kutoa mikopo kwa Wajasiriamali ili waweze kufikia dhamira ya kuepukana na Umasikini.

WAZANZIBAR SIO WABAGUZI - DK MUCHUNGUZI, AFUNGUKA MAZITO
▶︎

WAZANZIBAR SIO WABAGUZI - DK MUCHUNGUZI, AFUNGUKA MAZITO

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu
▶︎

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

Living in ZANZIBAR | Life of people behind Africa's Most Famous Paradise | 4K
▶︎

Living in ZANZIBAR | Life of people behind Africa's Most Famous Paradise | 4K

Ufunguzi Wa Soko La Chuini Sambamba Na Kituo Cha Mabasi Ya Abiria
▶︎

Ufunguzi Wa Soko La Chuini Sambamba Na Kituo Cha Mabasi Ya Abiria

🔴#ZBCLIVE : UFUNGUZI WA SOKO LA MWANAKWEREKWE
▶︎

🔴#ZBCLIVE : UFUNGUZI WA SOKO LA MWANAKWEREKWE

🔴LIVE: RAIS DK. HUSSEIN MWINYI AKIFUNGUA SOKO LA CHUINI LEO TAREHE 04/09/2025.
▶︎

🔴LIVE: RAIS DK. HUSSEIN MWINYI AKIFUNGUA SOKO LA CHUINI LEO TAREHE 04/09/2025.

WAZIRI MKUU AKASIRIKA MKUTANONI MARA "Atakaye Kaidi Nitamshughulikia"
▶︎

WAZIRI MKUU AKASIRIKA MKUTANONI MARA "Atakaye Kaidi Nitamshughulikia"

Zanzibar 4K.  Tropical Paradise in Africa. Beaches & Sights
▶︎

Zanzibar 4K. Tropical Paradise in Africa. Beaches & Sights

🔴LIVE:RAIS DKT. SAMIA NA RAIS CHAPO WAKIFUNGUA MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA SABA SABA
▶︎

🔴LIVE:RAIS DKT. SAMIA NA RAIS CHAPO WAKIFUNGUA MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA SABA SABA

ITAZAME HARUSI ya Binti wa DKT MWINYI, MC DR CHENI Auwasha Moto wa Hatari
▶︎

ITAZAME HARUSI ya Binti wa DKT MWINYI, MC DR CHENI Auwasha Moto wa Hatari

#LIVE: KONGAMANO LA KWANZA LA MWAKA LA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI NA FARAGHA, TANZANIA 2026
▶︎

#LIVE: KONGAMANO LA KWANZA LA MWAKA LA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI NA FARAGHA, TANZANIA 2026

Ifahamu Historia ya Askofu Augustino Shao wa Jimbo Katoliki la Zanzibar | Safari ya Wito S01EP04
▶︎

Ifahamu Historia ya Askofu Augustino Shao wa Jimbo Katoliki la Zanzibar | Safari ya Wito S01EP04

UFUNGUZI WA SOKO NA KITUO CHA DALADALA CHUINI ZANZIBAR.
▶︎

UFUNGUZI WA SOKO NA KITUO CHA DALADALA CHUINI ZANZIBAR.

How Toilet Bowls Are Made | Amazing Toilet Bowl Manufacturing Process in Pakistan
▶︎

How Toilet Bowls Are Made | Amazing Toilet Bowl Manufacturing Process in Pakistan

#live: RAIS DK. HUSSEIN MWINYI AKIFUNGUA SOKO LA CHUINI LEO TAREHE 04/09/2025.
▶︎

#live: RAIS DK. HUSSEIN MWINYI AKIFUNGUA SOKO LA CHUINI LEO TAREHE 04/09/2025.

UFUNGUZI WA SOKO LA CHUINI.
▶︎

UFUNGUZI WA SOKO LA CHUINI.

Waziri Mkuu, leo Julai 1, 2026 Akisikiliza  kero za wananchi mkoani Mara.
▶︎

Waziri Mkuu, leo Julai 1, 2026 Akisikiliza kero za wananchi mkoani Mara.

#LIVE: UZINDUZI SOKO LA CHUINI ZANZIBAR
▶︎

#LIVE: UZINDUZI SOKO LA CHUINI ZANZIBAR

ALI KARUME: MFUMO WA SERIKALI 3 NDO UNAFAA, WE RAIS MZIMA WA ZANZIBAR ANAKUWA WAZIRI KWENYE MUUNGANO
▶︎

ALI KARUME: MFUMO WA SERIKALI 3 NDO UNAFAA, WE RAIS MZIMA WA ZANZIBAR ANAKUWA WAZIRI KWENYE MUUNGANO

Zanzibar Ultimate Tour Guide | Top 10 Attractions with Maps + Prices 🌴
▶︎

Zanzibar Ultimate Tour Guide | Top 10 Attractions with Maps + Prices 🌴