OPARESHENI YA TRA SINGIDA WAFANYABIASHARA WAHIMIZWA KULIPA KODI KWA HIARI
SINGIDA Mamlaka ya mapato Tanzania TRA Mkoa wa Singida wamepita katika madaka mbalimbali wakihimiza suala la kulipa kodi pamoja na kusikiliza na kutatua changamoto za wafanyabiashara biasha hao katika maeneo yao ya Kazi. Akizungumza mara baada ya kutembelea wafanyabiashara hao meneja wa TRA Mkoa wa Singida Josephat Mwaipaja amesema mwezi huu ni nimwezi wa kulipa kodi awamu ya pili hivyo wamepitia kuwakumbusha wafanyabiashara kulipa kodi zao kwa wakati. Amesema katika ziara yao wamesikiliza na kutatua papokwa papo changamoto mbalimbali ambazo zilikuwa zikiwakabili wafanyabiashara hao. Katika hatua nyingine Meneja Mwaipaja amewashukuru walipa kodi kwa kuendelea kuufanya mkoa wa Singida kuvuka malengo katika suala la ukusanyaji wa Mapato. Amesema lengo la mwaka ni kukusanya bilion 30.54 ambapo kwa miezi kumi na moja walitakiwa kukusanya shilingi bilioni 27.23 lakini mpaka sasa wamekusanya shilingi bilioni 29.79 ikiwa ni ufanisi wa asilimia 109. Kwaupande wao baadhi ya wafanyabiashara wamepongeza mamlaka ya mapato TRA kwa kuendelea kuwatembelea na kutoa elimu ya mara kwa mara suala lililosaidia kuondoa changamoto #milardayo #rickmedia #bbc

JE WAJUA KUWA UNAWEZA KUFANYA MAKADIRIO YA KODI MWENYEWE..?

UJUMBE WA MENEJA WA TRA MKOA WA ARUSHA KUHUSU KODI

Wow! Mnyama hii haijaisha!

VIWANGO NA VIGEZO VYA KULIPA KODI TRA

Nigeria: ‘Renewed Hope’ or ‘Hopelessness’? | Mehdi Hasan and Daniel Bwala | Head to Head

ELIMU JUU YA MABADILIKO YA SHERIA ZA KODI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

VAT? Tizama hapa kujua zaidi

Afghan most Famous Kabuli Pulao | Pakistani Karahi | Biryani recipe | Roasted chicken | Street food

GUMZO!! KAULI YA WAZIRI MKUU MWIGULU KWA MAWAZIRI WALIOWABAGUA WATANGANYIKA YAIBUA UTATA BUNGENI

How Toilet Bowls Are Made | Amazing Toilet Bowl Manufacturing Process in Pakistan

Show Me The 300 Jobs You Created After 300 Ghanaians Left! | Julius Malema

TRA YAWATAKA MAWINGA WOTE WAJITOKEZE KULIPA KODI

RAIS SAMIA ATOA MAAGIZO MAZITO TRA “KUSANYENI KODI KIRAFIKI SIO MABAVU, MSIFUNGE AKAUNTI NA OFISI”

KIJANGA ASIKILIZA KERO ZA WANANCHI WA MANDEWA

MWALUGAJA ATOA ELIMU AWATONYA NAMNA NHIF INAVYOFANYAKAZI

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

“You’ll Never Be Like Us.” Until 500KG Happened 🔥

TRA YASISITIZA KUTOZA KODI KWA MAKADILIO YA UHALISIA WA BIASHARA HUSIKA.

Tanzania Haistahili Kurudi Nyuma - Ujumbe Wa Mwigulu Nchemba

